Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,365
- 21,740
.MANCHESTER CITY Bado ni timu ndogo sana .View attachment 2237181
.MANCHESTER CITY Bado ni timu ndogo sana .View attachment 2237181
We fala Pain killer soma hii ipo kwenye official website ya Man Utd. Mind you, Manchester United ina over 50,000 season ticket holders.View attachment 2236498
Unawashwa mkuu unataka mkunaji?Nyumbu
Na pia katika hizo mechi 38 tulizocheza hatujafungwa hata goli moja.Manchester united imecheza michezo 38. Lakini hajafunga hata goli moja. Mmefunga magoli 0



Leeds United na Wolves si mliwafunga nyie.
Anafikili epl ni huko uholanzi ambapo ajax imeshageuza league yao kuwa shamba la bibi...!Huyu E10Hag anajiamini nini? Anaongea bila wasiwasi kabisa.
Mbona Pep kaigeuza shamba la bibi, nataka ujue kuwa ligi yoyote inaweza kugeuzwa shamba la bibi ila issue ni stratagies za kocha na mpunga unaomwagwa vizuri kuliko vilabu vingine vya ligi husika.Anafikili epl ni huko uholanzi ambapo ajax imeshageuza league yao kuwa shamba la bibi...!
Kabla ya Ten Hag kwenda Ajax walikaa miaka mitano bila ubingwa PSV na Feyenoord walitawala kidogo alijitahidi kuirudisha AFC AJAX ilipotokaAnafikili epl ni huko uholanzi ambapo ajax imeshageuza league yao kuwa shamba la bibi...!
Huyu E10Hag anajiamini nini? Anaongea bila wasiwasi kabisa.