Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,912
- 10,262
Your spend more time on United thread than on your team thread
Mbona Pep kaigeuza shamba la bibi, nataka ujue kuwa ligi yoyote inaweza kugeuzwa shamba la bibi ila issue ni stratagies za kocha na mpunga unaomwagwa vizuri kuliko vilabu vingine vya ligi husika.Anafikili epl ni huko uholanzi ambapo ajax imeshageuza league yao kuwa shamba la bibi...!
Kabla ya Ten Hag kwenda Ajax walikaa miaka mitano bila ubingwa PSV na Feyenoord walitawala kidogo alijitahidi kuirudisha AFC AJAX ilipotokaAnafikili epl ni huko uholanzi ambapo ajax imeshageuza league yao kuwa shamba la bibi...!
Huyu E10Hag anajiamini nini? Anaongea bila wasiwasi kabisa.
Your spend more time on United thread than on your team thread
Dah sometimes nikikaa nikafikiri naona kama Manchester united kama kubeba ndoo imebaki kama ndoto yani nikifiria sioni tukibeba kombe lolote yani.
Naona tunaenda kuwa As roma yani miaka14 kombe ndo wamebeba jana.
.Dah sometimes nikikaa nikafikiri naona kama Manchester united kama kubeba ndoo imebaki kama ndoto yani nikifiria sioni tukibeba kombe lolote yani.
Naona tunaenda kuwa As roma yani miaka14 kombe ndo wamebeba jana.