Mawematatu
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 468
- 608
Nasikia Pogba anaelekea man city ni kweli???
Sifa ya kwanza ya kiungo ni kuwa na akili..I'm sorry to say McSouce akili hiyo hana.McTominay ni bonge la Midfielder. Ningempokea pale Emirates kwa mikono miwili
Mbona nyie pia mnachechemea mno.Hii nayo ni timu ya mupira au?
Huyu mjerumani ni tapeli amejaa maneno mengi halafu utekelezaji ni ziro





Europa uhakika maana Westham hawezi shinda mechi zake zote zilizobakiHalafu imebaki mechi mojanyie hata conference sidhan kama mtacheza, subirini carabao tuu
Kama ambavyo unaona West Ham hawezi kushinda mechi zake, hvy hvy pia nyie hamuwezi kucheza conferenceEuropa uhakika maana Westham hawezi shinda mechi zake zote zilizobaki
Sent from my SAMSUNG-SM-N910A using JamiiForums mobile app
Conference haina maana yoyote, kuliko kucheza Conference bora usicheze Europe Kabisa. Angalau Europa mshindi anaingia Champions league.Kama ambavyo unaona West Ham hawezi kushinda mechi zake, hvy hvy pia nyie hamuwezi kucheza conference
Kuna sku mtaiona ya maana Tu , mana hata Europa mliiopndaga hvi hviConference haina maana yoyote, kuliko kucheza Conference bora usicheze Europe Kabisa. Angalau Europa mshindi anaingia Champions league.
Hio ni kabla ya bingwa wa Europa haingii UCL. Toka waweke bingwa anapewa kundi UCL timu nyingi Zipo serious.Kuna sku mtaiona ya maana Tu , mana hata Europa mliiopndaga hvi hvi