Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Amtaje board aliyesema no...kukusanya kundi la watu na Kuwa generalize is not a solution... mashabiki wanataka adui yao namba Moja directly ni nani
Board ni sum of decisions by a group of people.

Mtu mmoja hawezi sema no halafu ukasema ni board. Kwa pale United, maamuzi ya mwisho yanayohusu kununua wachezaji au kuongeza mkataba yanafanywa na board.

Ralf sio mjinga kusema board.
 
Kwa malezi ole aliyowapa wachezaji, aliwaharibu. Unawezaje mchezaji anafanya makosa unampetipeti. Moriinho hakutaka ujinga, Ferguson hajawahi kuishi na mchezaji Kwa kumsifiasifia. Ni wapuuzi Sana. Kibongobongo ni sawa na kupetpeti mwanao .. Baadae unashangaa akiwa panyaroad,akiwa chokoraa anakuwa nunda. Pogba anisamehe lkn ni kama nunda pale united.

View attachment 2213795
Kama kweli hii msms ni yake anawafundisha nini wadog zake
Napingana na wewe......
Kuwa kocha inabidi uwafanye wachezaji wakubaliane na wewe, wakubali kukutumikia.
Kuna namna Nyingi za kuwin hearts za wachezaji.
Either wakuheshimu kama mkubwa wao na mkali kwao ( hapa utawaweza wasio na majina).
Uwe kama rafiki yao ( hii ndio alienda nayo Ole na ilimlipa).
Wachezaji sio ng'ombe utazicommand unavyotaka.....

Mfano mwepesi ni huo, hii picha sio bahati mbaya.
Lazima uwin hearts za wachezaji first, Kwa muono wangu Ralf kashindwa hili na ndio linalomtesa.
Sema labda kwa kuwa alijuwa sio jukumu lake kuu.
IMG_20220502_151024.jpg
 
Napingana na wewe......
Kuwa kocha inabidi uwafanye wachezaji wakubaliane na wewe, wakubali kukutumikia.
Kuna namna Nyingi za kuwin hearts za wachezaji.
Either wakuheshimu kama mkubwa wao na mkali kwao ( hapa utawaweza wasio na majina).
Uwe kama rafiki yao ( hii ndio alienda nayo Ole na ilimlipa).
Wachezaji sio ng'ombe utazicommand unavyotaka.....

Mfano mwepesi ni huo, hii picha sio bahati mbaya.
Lazima uwin hearts za wachezaji first, Kwa muono wangu Ralf kashindwa hili na ndio linalomtesa.
Sema labda kwa kuwa alijuwa sio jukumu lake kuu.
View attachment 2215279

Unafanya haya baada ya kushinda ,picha imepigwa baada ya Real Madrid kushinda La Liga na walikuwa semi final ya UCL,how can you do that uko nafasi ya 6
 
Mabosi wa hii timu ni washamba na nitakataka.View attachment 2215016
Sioni tatizo wamuache Ten hag alete wachezaji wake anaowataka yeye hizo ni rumours tu ingekuwa upotevu wa pesa kama angeletwa Mchezaji Alafu kocha atayekuja asione anafit au siyo chaguo lake nadhani waandishi wa Habari wanaleta tension tu fungu kubwa apewe ten hag dirisha kubwa kuliko kuletewa wachezaji ambao yeye huenda asingewapenda
 
Back
Top Bottom