allypipi nakukumbusha tu, leo nimepita maeneo ya kunduchi ile mitaa wananchi wake waliopelekewa moto na panya road.
Nimekuta watu kibao wana mibandeji kichwani ila cha kushangaza kila unaepishana nae barabarani yupo na full tabasamu.
Ikabidi niwaulize wale raia wema waliojeruhiwa kulikoni mmepata mabalaa na mko na majeraha lakini kila nikipishana na nyie nawaona mko na furaha sana?
Mmoja wao ndio akanijibu huku akitabasamu:
"ina maana wewe haujui kua leo manchester united ipo uwanjani anacheza na Brighton"
Hapo ndio nikaamini kua kumbe ni kweli yale maneno ya
allypipi
Manchester United inacheza leo na dunia nzima ina furaha
