Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,308
- 32,790
Bring back maguire
Pep si mbaguzi wa rangi au?Pogba Apo Man City Anaenda Kuupiga Mwingi.
Watapiga comeback la hatari, humjui mnyama cr7 weweUlimi nje, duh poor man United
Mpaka sasa kafanikiwa kupata yellow cardWatapiga comeback la hatari, humjui mnyama cr7 wewe
Maku wewe....na kama kama kamstari kako ka mwisho hapo kwenye huo upuuzi wako ulioandika, nisingekuelewa...hapa nilipo namuona F..F CK kila kamera ikimuonesha anaongea na kale kamexico kake kasaidizi.Napingana na wewe......
Kuwa kocha inabidi uwafanye wachezaji wakubaliane na wewe, wakubali kukutumikia.
Kuna namna Nyingi za kuwin hearts za wachezaji.
Either wakuheshimu kama mkubwa wao na mkali kwao ( hapa utawaweza wasio na majina).
Uwe kama rafiki yao ( hii ndio alienda nayo Ole na ilimlipa).
Wachezaji sio ng'ombe utazicommand unavyotaka.....
Mfano mwepesi ni huo, hii picha sio bahati mbaya.
Lazima uwin hearts za wachezaji first, Kwa muono wangu Ralf kashindwa hili na ndio linalomtesa.
Sema labda kwa kuwa alijuwa sio jukumu lake kuu.
View attachment 2215279
Mbona G.Jesus, Fernandinho Na Sterling Wanacheza Na Bado Wapo Chini Yake Mpaka Leo.Pep si mbaguzi wa rangi au?
hata mechi ya kwanza licha ya brighton kupewa kadi nyekundu bado walikuwa bora kuliko sisi.Tuongee ukweli tu, Man Utd haina uwezo wa kushindana na timu yenye uwezo kama Brighton.. kuanzia pressing, possession na kila kitu.
Wabongo utawaweza? Eti kambagua eto 'o na yayaMbona G.Jesus, Fernandinho Na Sterling Wanacheza Na Bado Wapo Chini Yake Mpaka Leo.