Nitashangaa sana kama ETH atajumuisha wachezaji wengine nje ya hawa kwenye kuisuka United mpya..(kwa ambao bado tupo nao)
✓DeGea,Henderson
✓Lindelof,Varane
✓Fred,James Garner,Fernandes
✓Sancho,Elanga,Ronaldo
Niliowataja ndo atleast naona tunaweza kwenda nao kwenye kuisuka United mpya lakini inabidi tusajili zaidi ya wachezaji sita wa muhimu not squad player.
===
+Tunahitaji kuingia sokoni kumsajili CB mwingine kwa viwango vya dunia
+Tunahitaji kusajili RB na LB wapya watakaoweza kutuimarisha..AWB,Dalot,Telles wote wameshindwa kutuaminisha kuwa wana uwezo...Shaw msimu huu mechi alizosheza amekuwa hovyo kuliko kawaida..last season alikuwa on fire.
+DM wa kiwango cha dunia ni lazima aletwe kikosini..McTominay na Fred hawawezi kutusaidia lolote kwenye hilo eneo..nadhani Fred anaweza kuwa mchezaji mzuri kama akisogezwa mbele kidogo,naamini atatusaidia..baadhi ya game alizosogezwa mbele na Rangnick ameonyesha makali kiasi.
+Straika pia ni lazima tutafute dirisha hili.
=====
Pamoja na yote bado uongozi na mfupo mzima wa uendeshaji wa hii klabu lazima uangaliwe upya,tumekuwa tukifanya mambo hovyohovyo tu,naamini sasa mambo yataanza kubadilika na kufanya mambo kama a real football club...mfano ni mikataba ya wachezaji...yaani wachezaji wanapewa mikataba mirefu ya hela nyingi isiyokuwa na kichwa wala miguu na wakiaanza kuflop hata kuwauza tu hawauziki.
I'm looking foward kuona ni kitu gani ETH atafanya kwenye dirisha hili ya usajili linalokuja na how our pre-season will be.