D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,022
kaka yake lingard amekasirishwa na kitendo cha kunyimwa mkono wa kwaheri wenye baraka za mashabiki na staffs kwa ndugu yake.
Come On You Gunners!
Huwa nashangaa sana, na majolity ya washabiki wa utd humu huwa hawaoni ubora wa Mata akiwa uwanjani, wamebaki kuongelea issue ya umri wkt huwa anacheza vzr kuliko hao wenye umri mdogo.Kwa mara ya kwanza kikosi cha kwanza kimeanza bila Muingereza na tumecheza mpira wa kibabe sana.
Kama alivyohoji mdau hapo juu,ni nani huwa anamuweka MATA benchi?
Eid Mubaraka wakuu wote humu.
Scott ni mpumbavu mmoja hv anayepewa game time lkn hanaga impact yoyote.Scot
Scott ni mpumbavu mmoja hv anayepewa game time lkn hanaga impact yoyote.
Scot ni mchezaji muhimu sana kwenye kikosi cha United kwanza anaongeza energy na physicality kwenye kikosi chetu ambapo asilimia kubwa ya wachezaji wetu hawana.Scott ni mpumbavu mmoja hv anayepewa game time lkn hanaga impact yoyote.
tunajenga timu mkuuYani kwa pira linalopigwa kule Bernabeu nyie msimu ujao mnataka mkafanye nini UEFA..
Si bora mkacheze Conference huko na vibonde wenzenu.
Kwa attitude ya wachezaji waliopo angekua polluted,Naamini tusiweza ku-expolore potential yake.Camavinga is only 19 years old..lakini anacheza kama mtu,..huyo dogo sijui kwa nini kipindi kile hatukumshawishi aje kwetu.
Kwa hali tuliyonayo vijana wengi wanatukataa kwasababu hatuna development nzuri tukiwanunua.Camavinga is only 19 years old..lakini anacheza kama mtu,..huyo dogo sijui kwa nini kipindi kile hatukumshawishi aje kwetu.
De gea wakumuondoa na yy japo ametusaidia lakin kwa sasa haifai kucheza na kipa hajui kupiga pass na hatoki golini maamuz magumu tu kuondoa hao watuNitashangaa sana kama ETH atajumuisha wachezaji wengine nje ya hawa kwenye kuisuka United mpya..(kwa ambao bado tupo nao)
✓DeGea,Henderson
✓Lindelof,Varane
✓Fred,James Garner,Fernandes
✓Sancho,Elanga,Ronaldo
Niliowataja ndo atleast naona tunaweza kwenda nao kwenye kuisuka United mpya lakini inabidi tusajili zaidi ya wachezaji sita wa muhimu not squad player.
===
+Tunahitaji kuingia sokoni kumsajili CB mwingine kwa viwango vya dunia
+Tunahitaji kusajili RB na LB wapya watakaoweza kutuimarisha..AWB,Dalot,Telles wote wameshindwa kutuaminisha kuwa wana uwezo...Shaw msimu huu mechi alizosheza amekuwa hovyo kuliko kawaida..last season alikuwa on fire.
+DM wa kiwango cha dunia ni lazima aletwe kikosini..McTominay na Fred hawawezi kutusaidia lolote kwenye hilo eneo..nadhani Fred anaweza kuwa mchezaji mzuri kama akisogezwa mbele kidogo,naamini atatusaidia..baadhi ya game alizosogezwa mbele na Rangnick ameonyesha makali kiasi.
+Straika pia ni lazima tutafute dirisha hili.
=====
Pamoja na yote bado uongozi na mfupo mzima wa uendeshaji wa hii klabu lazima uangaliwe upya,tumekuwa tukifanya mambo hovyohovyo tu,naamini sasa mambo yataanza kubadilika na kufanya mambo kama a real football club...mfano ni mikataba ya wachezaji...yaani wachezaji wanapewa mikataba mirefu ya hela nyingi isiyokuwa na kichwa wala miguu na wakiaanza kuflop hata kuwauza tu hawauziki.
I'm looking foward kuona ni kitu gani ETH atafanya kwenye dirisha hili ya usajili linalokuja na how our pre-season will be.
True..De gea when it's comes to build up ni wa hovyo kabisa..De gea wakumuondoa na yy japo ametusaidia lakin kwa sasa haifai kucheza na kipa hajui kupiga pass na hatoki golini maamuz magumu tu kuondoa hao watu