Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kosi la dunia on the stage.

hii ndo game yetu ya mwisho OT msimu huu.

Prediction Manchester united 3 Brentford 1View attachment 2208997
Naona leo umejitahidi.
IMG-20220503-WA0001.jpg
 
Nyie matakataka muna timu mbovu Sana kuwahi tokea, tangu mupira uanzishwe duniani.
Ila Man united akishachezaga na kenge za darajani hua ndio anaanza kufufuka yaani lazima ashinde mechi zaidi ya 4 mfululizo halafu mikenge hua ndio unakua mwanzo wao wa kupoteana mazima ni mwendo wa vipigo tu mfululizo mpaka wanaanza kufikiria kumtimua kocha.
Rejea mzunguko wa kwanza ulivyokua halafu tazama sasa hivi mzunguko wa pili unavyoenda.
Chelsea kwa uphaler wenu mnampisha Spurs nafasi ya 3, AsaniAli anakaa nafasi ya 4 halafu nyie kenge tunakutana matopeni kwenye futuhi za jumatano na alhamisi.
 
Hivyo ndiyo jinsi timu inaweza kucheza vizuri tusipoanza na yale Maingereza matapeli. Ukiacha wachezaji kocha naye ni wa kulaumiwa kwa ku-stick na mafala waliotufikisha hapa. Mimi big match sizihesabu kabisa ila kuna mechi nyingi na vibonde tulistahili points 3 ila ndiyo msimu ushaisha hivyo, mathematically bado tupo kwenye top 4 race ila ni impossible hata kufikiria ni point moja tu ya Arsenal itamaliza msimu wetu. Arsenal na Spurs wana games 4. IT'S OVER!!!
 
Kina Rashford wana la kujifunza kubwa tu kwa Mzee Ronaldo vitu alivyopiga leo wale watoto wa paund laki 2 hawawezi.
Kikosi kulichoanza hakikua na vichezaji vya kiingereza kila mtu uwanjani alikua ame-relax. (No Harry no Marcus, everything was easy peasy lemon squeezy)

Huyu ETH asije jikoroga ampe kandarasi mpya, amebakiza miezi 12 tu tutue huu mzigo au aende Newcastle mwezi ujao.
 
Kwa mara ya kwanza kikosi cha kwanza kimeanza bila Muingereza na tumecheza mpira wa kibabe sana.

Kama alivyohoji mdau hapo juu,ni nani huwa anamuweka MATA benchi?

Eid Mubaraka wakuu wote humu.
Scot
 
Ila Man united akishachezaga na kenge za darajani hua ndio anaanza kufufuka yaani lazima ashinde mechi zaidi ya 4 mfululizo halafu mikenge hua ndio unakua mwanzo wao wa kupoteana mazima ni mwendo wa vipigo tu mfululizo mpaka wanaanza kufikiria kumtimua kocha.
Rejea mzunguko wa kwanza ulivyokua halafu tazama sasa hivi mzunguko wa pili unavyoenda.
Chelsea kwa uphaler wenu mnampisha Spurs nafasi ya 3, AsaniAli anakaa nafasi ya 4 halafu nyie kenge tunakutana matopeni kwenye futuhi za jumatano na alhamisi.
Tulia hivyo hivyo wewe ..sisi ni wa kucheza matopeni uko Europa??! Yani kaushindi kenu ka Jana ndio kanakupa kiburi ..hahha sisi ni Chelsea bwana, Kila msimu tuna uhakika wa fainali zaidi ya mbili ..nyie takataka Mara ya mwisho kuingia fainali ilikuwa ni lini? Au ndo ile mulichabangwa na Villarreal hahaha?

Sisi siyo level za kucheza Europa ..huko tulishatoka..
#CFC💙💙💙
 
Now that City and Liverpool have gone to Spain to play UEFA... this the current top 4

1. Chelsea. 34games 66pts
2. Arsenal 34games 63pts
3. Spurs. 34 games 61pts
4. Man Utd. 36games 58pts

Congratulations Man Utd
Ukorofi huu
 
Back
Top Bottom