The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Yani huku mtaani kuna furaha isiyoelezeka.watu kila napopita wana tabasamunikasema ni EID lakini ni kakumbuka kuwa mufti katangaza EID ni kesho kuchunguza kujua ni nini.
Manchester United inacheza leo na dunia nzima ina furaha.






