Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Comment nzima inaelezea ina apply wapi
Haina kichwa Wala mkia. Yaani kama ni mnyama angeitwa dudu.

Kwa mfano"...effective against gegenpress na mifumo ya Highline, there is a reason ole alikuwa akizifunga Timu kubwa, historically Man U tumezionea sana timu hizi hasa za Ujerumani........'ukaishia hapo...halafu ukaendelea......"........mfumo huu unastrugle against timu ambazo zina posses na Technique kubwa, tumestrugle sana vs Spain Teams.........

Inategemea unautumia wapi,..
........,."


wapi nini......
wapi walifanya nini.....
nini Ina nini...
unakwama wapi.....
Unaongea nini kwenye nini....

Ole alitumia gegen lini wapi Kwa nini.......

Kwa nini alitumia highline ipi wapi na nani...
 
Hivi nyie humu huwa mnajadili nini?

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
matakataka arse8 nayo yamepata ujasiri wa kupita kwenye majukwaa Kama haya ya timu kubwa Kama hizi Manchester, Chelsea,Liver kuuliza maswali Kama haya ya kikumbavu..
"..eti nyie humu huwa munajadili Nini. ??"
aaagh f*ck football..😠😠😠
 
Subiri Pep aondoke ndio utajua hujui. Pep ni lamaya, hakai nyumba moja.atasepa kizungu wanasema wait and see.. wazungu bana wakaendelea kusema, ..we don't give a shit...man city akipata au kukosa. We just f..KY a monster Liverpool some days
Sawa endeleeni kujifariji
 
Kosi la dunia on the stage.

hii ndo game yetu ya mwisho OT msimu huu.

Prediction Manchester united 3 Brentford 1
Screenshot_20220502-200157.jpg
 
Man U Man U Man U ninawaita mara tatu mazwazwa nyinyi nimewapa WIN kwenye Mkeka wangu,Laki Moja yangu ipo rehani,ole wenu mfungwe vibwengo nyie
Hahaaaa Kuna Toney ana goli 12 , Kuna mbuemo halafu Kuna Eriksen ,

Hiyo laki umeiweka rehani ,Bora ungeenda kuwapa watoto yatima ,
 
Watu wengi wanaangalia mambo kiurahisi rahisi sana. Kama bodi iko tayari kula hasara itatuchuka miaka miwili kusafisha timu nzima kinyume na hapo itatuchukua miaka 4.

Wanaomaliza mkataba mwaka huu: Pogba, Lingard, Lee Grant, Cavani, Mata, Chong

Wanaomaliza mwakani, 2023: Fred, Shaw, Rashford, Dalot, Degea, Ronaldo, Jones, Heaton, Matic

Wanaomaliza, 2024: Martial, Bissaka, Lindelof, Bailly, Telles

Wanaomaliza, 2025 : Amad, Van De Beek, Maguire, Varane, McTominay, Henderson, Greenwood

Wanaomaliza, 2026: Bruno, Sancho, Elanga
😅😅 mpk 2025 tutakua tumenyooka

wa terminate vontract ya Magwaiya pls🚮
 
Back
Top Bottom