Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu watu wamekugusa pabaya kwa kumponda Ronnie
Huwa siwaelewi wanataka nini hasa mana mtu anatimiza wajibu wake lkn wao wanasema anataka tunzo binafsi, ss mtu unajiuliza mchezaji kama cr7 unategemea aishi kinyonge ndani ya timu? Je akipata chance asifunge awape kina Rashford? Hao kina Rashford wana magoli mangapi, c tunawaona kila siku wanaleta futuhi tu pale uwanjani? Hawa mashabiki wa utd wa cku hz wana lawama sn.
 
Shangilieni weeee

Pigeni kelele kuwa race ya top 4 imerudi.

Ila mkae mkijua next match mnacheza na Liverpool.

Tottenham atawapiga gap moja matata sana.
 
Ifike sehemu tukubaliane kutokukubaliana. Mtu/Watu wakiwa tofauti na mawazo usiyoyapenda kuyasikia/kuyaona, usiwatusi. Kuna siku mawazo yanafanana na kuna siku pia mawazo hayafanani hata kidogo. Hivyo kama unaona watu wametoa mawazo usiyoyapenda/yasiofanana na yako, unaweza ukanyamaza kuliko kutoa lugha za matusi!.
 
We are here. Ronaldo anaweza kujipatia hattrick but what UNITED get?

Ronaldo kaja nyakati mbaya, kuongeza mzigo wa usupastaa dressing room, ambayo imeathiriwa na Pogba, then vitoto vya kiingereza.

Kuna midomo ya mapundit. Kelele chetu ili timu ifike mbali tunahitaji kuondoa usupastaa kwanza, kuleta wenye njaa

Ondoa takataka zote za kiingereza, then egos (Pogba, Ronaldo). Maana kupiga sub tatizo malamamiko mengi from both wachezaji na mashabiki wao (like you) tutafika kweli?

We appreciate Ronaldo anachofanya but tunaenda wapi? Unadhani tukinunua mshambuliaji mwingine Ronaldo atakubali kutoa namba, tukileta vijana wenye njaa huku kuna ubinafsi uliokidhiri mbele tutafika kweli? (Kocha hasikiliziki).

ANYWAY TUSIHARIBIANE USHINDI, MUHIMU UNITED IMESHINDA.
Vijana wenye njaa kama nani vile?

Wan Bissaka? Daniel James?

Kusema always ni rahisi sana kuliko uhalisia
 
Binafsi naona inawezekana kusajili wachezaji 5 hadi 6 walau kuanzia hapo ndio tuwe tunaboresha kidogo kidogo kila dirisha. Pep aliwahi kusajili wachezaji 5 ndani ya dirisha moja na ile timu ilifanya vizuri tu msimu huo.
Man City ndani ya miaka 10 haijawahi kuwa mbovu ina longterm plan nzuri sana. Hao wachezaji 5 unaowasema nina uhakika walikuwa ktk mkakati wa timu wa muda mrefu. Ukiangalia vizuri trend ya City ndani ya miaka 10 bila Pep ubora wao haujabadilika.

Sajili za City ni za kimkakati sana ni zaidi hata ya mipango ya kocha. Ferran Soriano na Txiki wanajua wanachokifanya. Niliwahi kuelezea jinsi hawa watu wawili walivyoijenga City. Ndani ya miaka 10 chini yao tokea 2012 mpaka sasa wamebeba makombe 14 ( EPL 5) na nusu ya haya makombe walibeba kabla hata Pep hajafika.

City sio wa kujilinganisha nao kusema ukweli. Mfumo tunaoujenga sisi sasa hivi wao walishaujenga zaidi ya miaka 10 iliyopita. Pep hakwenda kuijenga City aliwakuta tayari wana clear plan inayoeleweka, walikuwa wanashinda makombe hata kabla hajafika. Soriano na Txiki walimtaka zaidi Pep ili ku-speed up plan yao, wao ndio waliofanya nae kazi Barcelona pia.
 
Fuentte, City sio wa kujilinganisha nao wako mbali sana ndani ya hii miaka 10. Pep ni sehemu ya pattern tu ila sio kila kitu pale.

Kuna watu wawili nyuma ya City ndio brain power yao (Soriano na Txiki). Leo hii City hata ukimpa Ole au Carrick au Lampard au Arteta nakuhakikishia watabeba vikombe kama kawaida pale.
 
Huyo huyo mkuu, confidence ishakufa now ni ovyo ila dogo ana msaada ikiwa timu itajielewa from Keeper mpaka washambuliaji.

Unategemea apocket nani sasa ikiwa wakibadilisha upande wake wa mashambulizi wapeleke kwa Shaw na Maguire, plus mawinga wabinafsi kina Trashford kupoteza mipira then full back uanze mbio kulinda.


ILA BOSS UNAWEZA PENDEKEZA RB anayetufaa tujue.
Dalot anazingua Ulinzi.
Dalot amenenepa, yaani nikimuangalia simmalizi.
 
Kutendo Cha kumuacha Pogba man UTD Hadi Leo hii,ni upumbavu usiona maanna.

Mizigo miwili mingine imeongezeka inajifanya hero. Rashford na waingerez wenzie,thy worth nothing for a team

We are here. Ronaldo anaweza kujipatia hattrick but what UNITED get?

Ronaldo kaja nyakati mbaya, kuongeza mzigo wa usupastaa dressing room, ambayo imeathiriwa na Pogba, then vitoto vya kiingereza.

Kuna midomo ya mapundit. Kelele chetu ili timu ifike mbali tunahitaji kuondoa usupastaa kwanza, kuleta wenye njaa

Ondoa takataka zote za kiingereza, then egos (Pogba, Ronaldo). Maana kupiga sub tatizo malamamiko mengi from both wachezaji na mashabiki wao (like you) tutafika kweli?

We appreciate Ronaldo anachofanya but tunaenda wapi? Unadhani tukinunua mshambuliaji mwingine Ronaldo atakubali kutoa namba, tukileta vijana wenye njaa huku kuna ubinafsi uliokidhiri mbele tutafika kweli? (Kocha hasikiliziki).

ANYWAY TUSIHARIBIANE USHINDI, MUHIMU UNITED IMESHINDA.
 
Wanaume tunaingia fainal mbili mpaka tatu karibu Kila msimu .. matakataka kama ninyi bado munapambana na top four😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom