Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwa mechi ya juzi na Norwich, it is now confirmed kwamba Maguire ni total liability kwa Manchester United na mpo hapo mlipo kwa sababu yake, hawezi kuruka tena utadhani tanki, hawezi kufanya movement yeyote kwenye backline. Mkimfanya kuwa striker inaweza ikamake sense

CB ghali anachezesha matako tu utadhani anacheza mdundiko

Unamdharau beki ghali sio?
 
Sijui kwanini bado Maguire anapewa nafasi maana jamaa anaonesha kabisa akili imechoka sana anahitaji kupumzika kabisa ila wanalazimisha kumpanga wakati nje beki zipo za kucheza jamaa hata saikoloji haiko sawa kabisa anahitaji kupumzishwa kila anachofanya anaharibu sasa hivi.
 
Mimi najiuliza tu like teke la farasi la Maguire lililompata pogba lilipigwa kwa makusudi au bahati mbaya,hivi urukaji gani ule wa kubetua miguu Kama unapiga sarakasi jamani...
Hivi sheria zinasemaje kuhusu kumuadhibu Maguire kwa Red cards kwa uchezaji ule?
Maana ile ni dangerous play au kwa kuwa kamjeruhi mtu wake ndio maana hata njano hakupata yule fala?
 
Hivi sheria zinasemaje kuhusu kumuadhibu Maguire kwa Red cards kwa uchezaji ule?
Maana ile ni dangerous play au kwa kuwa kamjeruhi mtu wake ndio maana hata njano hakupata yule fala?
 
Jipe moyo, unasema hivyo sababu wewe ni shabiki pekee JF nzima wa Man city, sisi hatuna uwezo wa kuifunga Liverpool, hilo likae kwenye ubongo wako. Liverpool anaanza kushika mkono mmoja wa kikombe cha EPL kuanzia leo...
Mkuu uwanjani ni ...

Wanaume 11 Vs wanaume 11 Sasa kusema hamuwezi kuwafunga Liverpool au kupata draw unakosea Sana ....


Ole alikuwa na mbinu kidogo ila huyu RR ni majanga ,sidhani kama ameshapata point tatu ;kwenye timu kubwa mhimu.....


Mkija na ile nguvu mliyomfunga Spurs 3-2 mbona Liverpool atatulia tu ....
 
Poleni kwa msiba, nashauri leo magwaya ajifunge tena kama ishara ya kuomboleza.
 
Joh Doe nadhani tumeshabihiana mitizamo na RR kuhusu rebuild labda kama hii MORE alimaanisha kwa misimu zaidi ya mmoja.
Na kuna mahala pia nimeona akisema hakuna ulazima wa kusubiri misimu 3 au zaidi ili kuwa title contenders bali inaweza kufanyika ndani ya misimu 2 pekee.
Huyu ni Ralf Rangnick
Inawezekana kuleta wachezaji watano na kuondoa wachezaji hata 6 kwa mkupuo.

Transfer window ni ndefu sana. It's all about planning and execution.

Ukiniuliza namba gani zinahitaji watu wapya kwa sasa ntakwambia 2,3,5,6 na 9.

Kocha ajae anatakiwa atizame haya maeneo kwa kuanzia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Adjustments.jpg
 
Kuaangalia game ambayo matokeo yake yanajulikana ni matumizi mabaya ya akili,sioni kabisa umuhimu wa hii game kwanLiverpool anaenda kumfunga man utd zaidi ya goli 3 ,....!
 
Pole kwa Ronaldo.

Leo CAVANI hayupo available?

Nakachukia Karashford hadi basi toka enzi za Ole, kanajikutaga staa kakiwa hakana changamoto ya namba.
 
Pole kwa Ronaldo.

Leo CAVANI hayupo available?

Nakachukia Karashford hadi basi toka enzi za Ole, kanajikutaga staa kakiwa hakana changamoto ya namba.
Ndio hivyo tena RR kashamuanika madhaifu yake.
Nakumbuka kuna game hakukuwa na Cavani wala Ronaldo lakini bado dogo hakupata namba kikosi cha kwanza,ndipo kakaanzisha sera za kuondoka kuwa hana imani na Ralf.
Hii ndio rebuild aliyotuachia Ole akituaminisha kuwa tuko kwenye right direction.
 
Back
Top Bottom