Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Dalot fala alafu kocha anampangaje no ya telles, si angempeleka Lindelof pale wan Bissaka akae pa Lindelof alafu Dalot acheze kama winga wa kulia alafu Bailly awepo kubalance postioning maana Maguire hasara tupu. Mara Dalot amcover na kuacha gape kwa Salah.
Nenda wewe ukabalance positioning na kucover ilo gape
 
Kuna mtu anaitwa Thiago Alcantara

Huyu jamaa anampira flani kuonekana wengine mafala tu uwanjani
Yani Mpira wa kunata sana

Mpuuzi anaujua sana huyu, kama haukubahatika kumuona xavi, wewe muangalie huyu mbwa inatosha sana
Kama hii comment mlisooma

Sidhani kama mlimshangaa huyu mbwa
 
Liverkuku utulivu wanao ila UTU hawana kabisa hawa wahuni
Kidogo lakini wamejitahidi kuonyesha uungwana kwa kutufunga goli 2 tu kipindi cha kwanza, naimani kipindi cha pili watatuhurumia tena na kwa huzuni tuliyoinyesha wanaweza kutuachia tufunge japo kagoli kamoja ka kufutia machozi.
Hawa jamaa wanaonesha wana utu ila hawapendi tu dharau.
 
1650398294447.png
 
Dalot fala alafu kocha anampangaje no ya telles, si angempeleka Lindelof pale wan Bissaka akae pa Lindelof alafu Dalot acheze kama winga wa kulia alafu Bailly awepo kubalance postioning maana Maguire hasara tupu. Mara Dalot amcover na kuacha gape kwa Salah.
Huyu kocha wetu nae ni wa michongo tu, kikosi chake jinsi anavyokipanga hua napata mashaka kama kweli ana leseni ya kufundisha ligi daraja la kwanza.
Kocha lina mineno mingi halafu uwanjani hamna kitu, yaani akili zake na Maguire kama vile zinataka kufanana.
 
Huyu kocha wetu nae ni wa michongo tu, kikosi chake jinsi anavyokipanga hua napata mpaka mashaka kama kweli ana leseni ya kufundisha ligi daraja la kwanza.
Kocha lina mineno mingi halafu uwanjani hamna kitu, yaani akili zake na Maguire kama vile zinataka kufanana.
Huyu maguire sii mlisema ni mzuri kuliko coulibally wa napoli
 
Heri leo sijaamua kuangalia mechi yetu na Liverpool kabisa,maana unazi ukizidi utaumia roho tu...poleni Sana mashabiki wenzangu wa man utd mlionunua na pop corn kabisa ili kufurahia burudani yenye majonzi...naamini sasa Kama mashabiki wa man utd tulishaanza kuzoea shida tayari basi hata hili halitotupa tabu maana tunajua timu yetu jinsi ilivyo...hongereni sana Liverpool hakika nyie mnastahili mnachovuna sasa
 
Back
Top Bottom