Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 22,322
- 33,705
Alibahatisha tu na Madrid msimu huo alikuwa hovyo mno kulinganisha na sasa hivi.Mbona city alimtoa Madrid ?
Kumbuka pia Man City alikuwa ameshamtoa alimchomoa PSG kama kumbukumbu zangu ziko sawa.
PSG ni timu ya kawaida sana mbele ya
Bayern
Man United
Liverpool
Chelsea
Barcelona
Madrid
Juventus