Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,697
- 32,447
Alibahatisha tu na Madrid msimu huo alikuwa hovyo mno kulinganisha na sasa hivi.Mbona city alimtoa Madrid ?
Kumbuka pia Man City alikuwa ameshamtoa alimchomoa PSG kama kumbukumbu zangu ziko sawa.
PSG ni timu ya kawaida sana mbele ya
Bayern
Man United
Liverpool
Chelsea
Barcelona
Madrid
Juventus




nacheka kama mazuri