Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

RR tunapishana kwa Maguire tu basi na Rashford kaanza ili iweje anyway wacha tuone game time anayolilia ataitendea haki au atakua kapewa nafasi ya tonge mdomoni kwa Simba yani kasakiziwa hii game aharibu tu awekwe benchi msimu mzima.
 
RR namuelewa sana mzee kwenye sehemu hizi hatafuni maneno wasituchoshe uwanjani ziro ukiwekwa benchi unaanza drama za kuondoka mpuuzi aende wameondoka watu wamaana wakiwa kwenye peak sembuse yeye.
Huyu mshua hata akienda kwenye consultation role ile, mambo yatanyooka saana.. hapambi maneno, hakupaki mafuta, watakimbia wengi tu pale subiri utaona
 
Back
Top Bottom