Benji_Tx
Member
- Jan 10, 2022
- 31
- 71
Mkuu, issue ya nani acheze na nani asicheze Ina sababu nyingi zaidi ya ambavyo huwa tunafikiri.Kama shida wachezaji,Kocha atumie wa wachache anao waona wanafaa wengine akachukue wa acamedy kwani kina Rashiford walitokea wapi? Waingizwe kina Rashiford wengine kutokea waliko toka.
Kocha aamini madogo,Mbona kina foden ,Kina Jones,kina Anord kina Saka wanauchakata mpira fresh TU licha ya umri wao,Kina kimmich wako njema.Kwanini???? Waliaminiwa na bado wanazidi kuaminiwa.
Kwanini lawama ziende Kwa kocha??? Kwasababu yeye ndiye Mwenye maamuzi yupi aanze yupi asianze Kwa sababu anazo zijua yeye.Kocha huwezi kuona shida ni wachezaji,bado una mpanga vile vile.Afu unalia shida ni mchezaji na una muona makosa anayo yafanya bado una mweka kwenye kikosi.Ivu una kichaaa wewe.Kwani mchezaji anajiweka kwenye kikosi??? Mpaka kuwekwa kwenye kikosi maana ake kaaniniwa.Motivational speaker yulee,Aachane na ukocha aende kwenye uchambuziiii....
Chache kati ya sababu hizo ni ;
1. Mkataba wa mchezaji & role yake, ambapo mkataba una kiwango cha chini/minimum amount of matches he has to play in a season.
2. Falsafa ya team/league husika. Pale United falsafa yake imejikita zaidi katika kupromote homegrown players (wachezaji waliokulia kwenye academy za pale kwao). Hivyo fanya ufanyalo, m-british pale falsafa inamlinda zaidi ya maelezo.
Kuhusu issue ya kutumia academy players kama ulivyosema hapo nimeliongelea tayari. Wachezaji ambao tayari wapo kwenye locker room wana impact hasi au chanya kwa wale wanaokuja/kuchipukia. Hivyo mazingira yaliyopo United sasa hivi yanakuwa sio friendly sana kwa wachezaji wachanga. i.e mifano ya kuigwa iliyopo pale kwa asilimia kubwa haina United spirit.
Kwa kumalizia, role ya kocha kwenye generation ya mpira wa sasa imebadilika sana.
Maamuzi ya kuhusu team yanayofanyika yanakua sio 100% matakwa ya kocha, Bali kuna sababu kadha wa kadha ikiwemo hizo nilizoanisha hapo juu.
Sasa hivi ndo maana role Ile sio Football Manager entirely, ila is just a coach ndo maana unaskia kuna technical director sijui, na vyeo vyeo kama hivyo.
Kama unakumbuka vizuri, hii ni moja ya sababu zilizofanya Mourinho anashindwana na United. Sababu kubwa ni structure ya club haimruhusu yeye kufanya maamuzi ya moja kwa moja kwa utashi wake binafsi, ila kuishi katika misingi ya club.
Things change with time, na United bado haitaki kubali katika hilo. Ndio maana team ina-struggle sana.
Nimelielezea vizuri nyuzi za juu kidogo. The problem is way deeper than a coach pale. Don't be surprised hata aje mtu kama Pep hivi af still akaishindwa Ile team. Maana kujinasua kutoka kwenye shida inayoikumba United it's way beyond inavyoonekana.
Sent using Jamii Forums mobile app
.
lakini ange endelea ange onesha changes.