Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

tukimpa timu pochettino yatakuwa yaleyale bado madrid ya sahivi haina ubora wakushindana na psg na hata kwenye ligi yao bado timu inavyocheza na kipindi cha tuchel na bado hakuwa na kikosi kizuri kama hiki ila alikuwa anakimbiza sana
 
Acha kuongea upumbavu.

Ole was absolute failure.

Wachezaji walimpenda kwasababu hakuwa mkali.
Huo upendo uliuonea wapi?Au hisia zako tu. Acha upumbavu wa kuto kufikiria na KUJIFANYA huoni na KUJIFANYA huelewi.Huyo mkali dhidi ya wachezaji kafanya kipi Cha maana ? Mechi alizo takiwa ashinde karibia zote kaboronga dhidi ya kina Watford,Middlesbro,Aston villa,Soton, Newcastle,Burnely na wolves mechi zote izo hakukuwa na sababu ya kutokupata matokeo Kwa sababu kama ni mpira UTD Ili wazidi wapinzani Kwa Kila kitu kwenye izo mechi zotee.Utazingizia wachezaji,Lakini haujiulizi ni kwanini wanafukuza kocha na hawafukuzi wachezaji.Kocha ndiye anatakiwa kuja kumfukuza mchezaji Kwa sababu ya mbinu na mifumo yake anayotumia.RR atasingizia Nini????? Dirisha dogo la usajiri aliulizwa mchezaji Gani atasajiri alijibu hakuna haja ya kusajiri Kwa sababu waliopo wanamtosha na Wana vipaji lakini anae taka kutoka mlango uko wazi ndo kina Martial wakatoka.Na mwanzoni kabisa wakati anaingia UTD alikuwa anawasifia wachezaji kuwa UTD ina vipaji na akijinadi atafanya makubwaa dhidi ya wachezaji waliopo.

Gerald,Xavi na Conte wamechukua timu katikati ya msimu, Wameonesha changes dhidi ya wachezaji walewale walio wakuta,Waliona mapungufu kwenye vikosi vyao dirisha dogo wakalitumia kujiweka vizuri Kutokana na mbinu na mifumo yao Kwa kusajiri watu muhimu watao sogeza gurudumu mpaka msimu utakavyo isha ambako ndo watasuka vikosi vyao upya kuanzia wachezaji anao wahitaji na ambao hawahitaji wataondoka.Lakini Kwa Sasa wanatumia wale walio wakuta kupata matokeo Kwa technique's za makocha hao.Wewe unataka kusemaje?? Huyo unae mwita failure alihusishwa kufukuzwa tangu kitambo saana na ilikuwa kidogo achukue ubingwa lakini bahati ilionekana siyo yake japo katoka bila kitu lakini alionesha anaweza,Kumaliza msimu juu ya Liverpool.Vitimu vidogo vidogo ivyo alikuwa ana vitwanga,Timu kubwa zilipata matokeo Kwa mbinde.Timu ilikuwa hata ikifungwaa 2,0 mpaka dk ya 70 unasubiri FT ubao umegeuzwa.Msimu huu haukuwa mzuri kwake hata mwenyewe alikiri.Acha upumbavu
 
Ukitaka kujua Man Utd ni timu kubwa, angalia wapinzani wa timu nyingine wanavyokuja kutembelea hii thread na kuponda. Hahah.

Ng'ombe hazeeki maini, tupo vibaya kiform in recent years, ila we are the best of the best kuwahi tokea duniani ndio maana mkisikia man utd roho zenu zinatawanyika.

Get a life you idiots.
 
Ukitaka kujua Man Utd ni timu kubwa, angalia wapinzani wa timu nyingine wanavyokuja kutembelea hii thread na kuponda. Hahah.

Ng'ombe hazeeki maini, tupo vibaya kiform in recent years, ila we are the best of the best kuwahi tokea duniani ndio maana mkisikia man utd roho zenu zinatawanyika.

Get a life you idiots.
United ishajifia wewe unaongea habari za old skull tactics za mzee Fergie, just hire an elite coach in ETH muenjoy modern footie na sio kukumbusha habari za zilipendwa.
 
Rangnick on Rashford future: “The window is closed right now. Even in case, suppose Rashford and his agents or his family at one stage of the summer think about maybe going to another club, well then he can do that - but in the summer. Not now”.

Hawa ndio wanaume, huwezi mlazimisha mchezaji ajitume au atake kucheza, na hakuna mchezaji mkubwa kuzidi team.
 
Rangnick on Rashford future: “The window is closed right now. Even in case, suppose Rashford and his agents or his family at one stage of the summer think about maybe going to another club, well then he can do that - but in the summer. Not now”.

Hawa ndio wanaume, huwezi mlazimisha mchezaji ajitume au atake kucheza, na hakuna mchezaji mkubwa kuzidi team.
RR namuelewa sana mzee kwenye sehemu hizi hatafuni maneno wasituchoshe uwanjani ziro ukiwekwa benchi unaanza drama za kuondoka mpuuzi aende wameondoka watu wamaana wakiwa kwenye peak sembuse yeye.
 
Kilichotokea jana kwenye Usiku wa Mabingwa tells it all.
Hapana PSG ni underdog kwa Madrid na itaendelea kuwa hivyo.

Huwezi kutenmgemea underdog aitoe timu yenye uzoefu mkubwa kama Madrid kwenye mashindano.
 
Back
Top Bottom