Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nikuwa najiuliza kwann Chelsea wana wachezaji wanaoumwa covid zaidi ya tatu lakini wanacheza bila kuarisha mechi tofauti na wengine waliyokuwa na mgonjwa mmoja tu lakini mechi ikaairishwa mfano Arsenal.

Baadae nilikuja kupata jibu kuwa Chelsea inachukiwa Uingereza nzima? Wanapenda kuona Chelsea ikiboronga ndiyo furaha yao.
Liangalie goal la nne la Mahrez,

Angalia Goal la jana la Sadio Mane,

Halafu kamalizie kuangalia goal la Lukaku la siku ile.

Utapata majibu.
 
Kwaio baada ya maji kuzidi unga tominay akaamua aangalie wezele la telles
255687574580_status_9e52bf5d26d74b7095a43506d2d81963.jpg
 
mishahara ya goalkeepers, yawezekana data hizi si rasmi hivyo naruhusu masahihisho kwa yeyote atakayekuwa na taarifa sahihi.

Allison becker wa liverpool analipwa paundi 150, 000 kwa wiki.

Ederson wa man city analipwa paundi 65000 kwa wiki.

Robert sanchez wa brighton analipwa paundi 20,000 kwa wiki.

Edouard mendy wa Chelsea analipwa paundi 70000 kwa wiki.

ukijumlisha mishahara ya goalkeepers wote wanne unapata paundi 305,000.

Fanya wote hao wanne kwa pamoja wanakusanya paundi laki 350,000 kwa wiki.

Kwa wasiofahamu huo ndio mshahara anaolipwa david de gea kwa wiki.

mpira wa kileo haumuhitaji tena kipa aina ya de gea ambaye uwezo wake pekee alionao ni kuzuia mashuti yanayolengwa golini kwake huku akiwa na madhaifu mengi, kwa mshahara anaolipwa david alipaswa kutokuwa na mlango wa udhaifu.

  1. David ana mwaka wa 10 tokea asajiliwe manchester united lakini bado ameendeleza tabia ya uoga wa kucheza krosi, tunafungwa goli nyingi za krosi kwa sababu yake.
  2. Uwezo wake wa kutawala box bado ni mdogo na haonyeshi dalili ya kubadilika
  3. Uwezo wake wa kucheza bado ni mdogo, anapiga pasi ovyo.
  4. David ni shots stopper, dunia ya leo inamuhitaji sweeper si ajabu ndio maana guardiola alimuondoa joe hart na hata arsenal wamemsajili ramsdale, lengo ni kujenga mwingi wa timu kiuchezaji kuanzia nyuma.
  5. David hawezi kupiga pass zinazoweza kuvuka line moja au mbili ya timu pinzani kwa usahihi mkubwa kama afanyavyo ederson. Mechi ya jana ederson alipiga pasi nyingi sana kama hizo mpaka wivu ukanijaa nafsini.
  6. Huwezi kucheza higher line ikiwa kipa wako ni david de gea na beki wako ni maguire.
  7. Uwezo wake wa kuokoa mashuti umerudi tena lakini bado anaendelea kukaa benchi spain, tujiulize ni kuwa sababu gani.
Anacholipwa david de gea hakiendani na anachotupa, ndugu zangu huyu david de gea ana tofauti gani na simon mignolet?

Overhaul inapaswa ianzie kwake kama itawezekana cause mkataba wake unaisha 2023, ni ngumu sana kumuonyesha mlango wa kutokea david de gea lakini klabu inapaswa impunguzie mshahara kama wataona haja ya kumpa mkataba mpya, kumuongezea mkataba na mshahara ni matumizi mabaya ya rasilimali pesa.

Naomba munitajie team kubwa yenye goalkeeper mwenye madhaifu kama hayo aliyonayo david de gea.


Chaguo langu mimi ni huyu sanchez wa brighton, navutiwa sana na uchezaji wake.
1646605053816.png
 
i eill explaim below

ipo hv kila timu dunian ina utamaduni wake enzi na enzi mfano
chelsea wazee wa kupaaki basi big matcj
barvelona tikitaka imdirect attack
madrid professional plauers superstar only

sasa dunia imebadilika mm ni shabik wa man city ila liverpool wana mfumo mzur sn

unajua kimachoiua man u ni nn ni mfumo na kocha mbovu afu mdomo mkubwa yaan mashabik yq man u toka enzi na enzi yanaongea sasa hv wamepinga utamaduni wao ule wa soka la shoka enzi gerguson mam u huwa hawawez kumilik mpira toka enzi za ferguson wa watu wa counter tu zaman ungeweza ona barvelona ina milik mpira kwa man u na bado ikafungwa pale kulikuwa na mijitu mibish ikina paul scholes roy keane giggs na wabish wengine kiuhalisia hawa wachezaji hawakuwa na uwezo mkubwa sn ila kujituma na kuvuja kasho uwanjan ilikuwa ni jambo la lazima sasa man u wanastahili kusajili watu wa maana

mm nilishangaa shwanstiger kukosa namba pale nilivhoka ille ndio kind ya wachezaji wanastahili kuvaa jezi apo ENGINES

SASA jamaa wana hali mbaya na mdomo ni mpana km nilivyosema apo juu wanatukanana wenyewe kwa wenyewe kila siku wanamtafuta mchaw leo ni ronaldo kesho ni pogba kesho ni cavan kesho ni kocha yaan ni matus
Aliye elewa anisaidie aisee, sijui hata unaandika nini hiki
 
Team inahitaji a SAVVY technical director/sporting director/director of football au technical advisor.

Narudia, awe someone SAVVY, sio mambo ya kusema DNA sjui vitu gani. Hata kama atatokea Liverpool, sio shida, muhimu awe anajua kweli kusimamia development za wachezaji, recruitment inayoendana na falsafa ya team etc.

Anapokuwepo TD/SD/DoF/TA mzuri, anakua linkage nzuri kati ya players development, recruitment na coaching.

Hata kocha mmoja akiondoka, anayeingia haanzi kusema sijui hawa wachezaji hawa fit falsafa yangu.

Anaweza kufanya right decisions au kushauri namna financial decisions (mfano mishahara ya wachezaji) zinaweza ku affect wachezaji positively au negatively.

Kwahiyo kwa maono yangu club ianzie hapo kwanza. Impate mtu anauejua haya mambo vizuri. Halafu mengine yatafuata
Watu wenyewe waliopo huko ni kina Fletcher, wanachojua ni united DNA
 
mishahara ya goalkeepers, yawezekana data hizi si rasmi hivyo naruhusu masahihisho kwa yeyote atakayekuwa na taarifa sahihi.

Allison becker wa liverpool analipwa paundi 150, 000 kwa wiki.

Ederson wa man city analipwa paundi 65000 kwa wiki.

Robert sanchez wa brighton analipwa paundi 20,000 kwa wiki.

Edouard mendy wa Chelsea analipwa paundi 70000 kwa wiki.

ukijumlisha mishahara ya goalkeepers wote wanne unapata paundi 305,000.

Fanya wote hao wanne kwa pamoja wanakusanya paundi laki 350,000 kwa wiki.

Kwa wasiofahamu huo ndio mshahara anaolipwa david de gea kwa wiki.

mpira wa kileo haumuhitaji tena kipa aina ya de gea ambaye uwezo wake pekee alionao ni kuzuia mashuti yanayolengwa golini kwake huku akiwa na madhaifu mengi, kwa mshahara anaolipwa david alipaswa kutokuwa na mlango wa udhaifu.

  1. David ana mwaka wa 10 tokea asajiliwe manchester united lakini bado ameendeleza tabia ya uoga wa kucheza krosi, tunafungwa goli nyingi za krosi kwa sababu yake.
  2. Uwezo wake wa kutawala box bado ni mdogo na haonyeshi dalili ya kubadilika
  3. Uwezo wake wa kucheza bado ni mdogo, anapiga pasi ovyo.
  4. David ni shots stopper, dunia ya leo inamuhitaji sweeper si ajabu ndio maana guardiola alimuondoa joe hart na hata arsenal wamemsajili ramsdale, lengo ni kujenga mwingi wa timu kiuchezaji kuanzia nyuma.
  5. David hawezi kupiga pass zinazoweza kuvuka line moja au mbili ya timu pinzani kwa usahihi mkubwa kama afanyavyo ederson. Mechi ya jana ederson alipiga pasi nyingi sana kama hizo mpaka wivu ukanijaa nafsini.
  6. Huwezi kucheza higher line ikiwa kipa wako ni david de gea na beki wako ni maguire.
  7. Uwezo wake wa kuokoa mashuti umerudi tena lakini bado anaendelea kukaa benchi spain, tujiulize ni kuwa sababu gani.
Anacholipwa david de gea hakiendani na anachotupa, ndugu zangu huyu david de gea ana tofauti gani na simon mignolet?

Overhaul inapaswa ianzie kwake kama itawezekana cause mkataba wake unaisha 2023, ni ngumu sana kumuonyesha mlango wa kutokea david de gea lakini klabu inapaswa impunguzie mshahara kama wataona haja ya kumpa mkataba mpya, kumuongezea mkataba na mshahara ni matumizi mabaya ya rasilimali pesa.

Naomba munitajie team kubwa yenye goalkeeper mwenye madhaifu kama hayo aliyonayo david de gea.


Chaguo langu mimi ni huyu sanchez wa brighton, navutiwa sana na uchezaji wake.
View attachment 2141677
Wewe bro ndiyo umeamua kuua kabisa zigo la misumari umemtwisha De Gea.

Hauwezi kucheza high line pressing siyo kwa vile kipa De Gea mi naamini hauwezi cheza hivyo kama forward wako ni Ronaldo na Cavani. Wazee watafanya pressing kwa intensity ile ile kwa dakika 90?

Kipa anaweza kua trained kwenye hizo pasi. Babu unaweza mtrain aanze kupress?

Sweepers ni wazuri kama timu inapossess na ina ukuta mzuri lakini wakiface mashambulizi hua wanakua hawana msaada sana. Timu kubwa nyingi zilimtaka De Gea ikabidi mumpandishie mshahara.

Unataka kusema hizo timu hazikuona kama De Gea ni tatizo?
 
Yani wachezaji wetu Kama wanacheza sodo vile vurumai tupu,wengine wanajiangukia hovyo hovyo tu...kwa inavyoonekana tatizo la hii timu ni kubwa zaidi ya watu tunavyofikiri,hii timu mbona naona kabisa ina wachezaji tu wazuri ambao wanaweza kutusogeza pazuri Sana,Yani masikini ya mungu kipa wetu anapewa kazi za bure tu Hadi huruma,man utd Sasa hivi ni timu ya kuua vipaji vya wachezaji tu..
Mzuri nani elanga?

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Team inahitaji a SAVVY technical director/sporting director/director of football au technical advisor.

Narudia, awe someone SAVVY, sio mambo ya kusema DNA sjui vitu gani. Hata kama atatokea Liverpool, sio shida, muhimu awe anajua kweli kusimamia development za wachezaji, recruitment inayoendana na falsafa ya team etc.

Anapokuwepo TD/SD/DoF/TA mzuri, anakua linkage nzuri kati ya players development, recruitment na coaching.

Hata kocha mmoja akiondoka, anayeingia haanzi kusema sijui hawa wachezaji hawa fit falsafa yangu.

Anaweza kufanya right decisions au kushauri namna financial decisions (mfano mishahara ya wachezaji) zinaweza ku affect wachezaji positively au negatively.

Kwahiyo kwa maono yangu club ianzie hapo kwanza. Impate mtu anauejua haya mambo vizuri. Halafu mengine yatafuata
Mambo ya DNA ya kina Darmian
 
mishahara ya goalkeepers, yawezekana data hizi si rasmi hivyo naruhusu masahihisho kwa yeyote atakayekuwa na taarifa sahihi.

Allison becker wa liverpool analipwa paundi 150, 000 kwa wiki.

Ederson wa man city analipwa paundi 65000 kwa wiki.

Robert sanchez wa brighton analipwa paundi 20,000 kwa wiki.

Edouard mendy wa Chelsea analipwa paundi 70000 kwa wiki.

ukijumlisha mishahara ya goalkeepers wote wanne unapata paundi 305,000.

Fanya wote hao wanne kwa pamoja wanakusanya paundi laki 350,000 kwa wiki.

Kwa wasiofahamu huo ndio mshahara anaolipwa david de gea kwa wiki.

mpira wa kileo haumuhitaji tena kipa aina ya de gea ambaye uwezo wake pekee alionao ni kuzuia mashuti yanayolengwa golini kwake huku akiwa na madhaifu mengi, kwa mshahara anaolipwa david alipaswa kutokuwa na mlango wa udhaifu.

  1. David ana mwaka wa 10 tokea asajiliwe manchester united lakini bado ameendeleza tabia ya uoga wa kucheza krosi, tunafungwa goli nyingi za krosi kwa sababu yake.
  2. Uwezo wake wa kutawala box bado ni mdogo na haonyeshi dalili ya kubadilika
  3. Uwezo wake wa kucheza bado ni mdogo, anapiga pasi ovyo.
  4. David ni shots stopper, dunia ya leo inamuhitaji sweeper si ajabu ndio maana guardiola alimuondoa joe hart na hata arsenal wamemsajili ramsdale, lengo ni kujenga mwingi wa timu kiuchezaji kuanzia nyuma.
  5. David hawezi kupiga pass zinazoweza kuvuka line moja au mbili ya timu pinzani kwa usahihi mkubwa kama afanyavyo ederson. Mechi ya jana ederson alipiga pasi nyingi sana kama hizo mpaka wivu ukanijaa nafsini.
  6. Huwezi kucheza higher line ikiwa kipa wako ni david de gea na beki wako ni maguire.
  7. Uwezo wake wa kuokoa mashuti umerudi tena lakini bado anaendelea kukaa benchi spain, tujiulize ni kuwa sababu gani.
Anacholipwa david de gea hakiendani na anachotupa, ndugu zangu huyu david de gea ana tofauti gani na simon mignolet?

Overhaul inapaswa ianzie kwake kama itawezekana cause mkataba wake unaisha 2023, ni ngumu sana kumuonyesha mlango wa kutokea david de gea lakini klabu inapaswa impunguzie mshahara kama wataona haja ya kumpa mkataba mpya, kumuongezea mkataba na mshahara ni matumizi mabaya ya rasilimali pesa.

Naomba munitajie team kubwa yenye goalkeeper mwenye madhaifu kama hayo aliyonayo david de gea.


Chaguo langu mimi ni huyu sanchez wa brighton, navutiwa sana na uchezaji wake.
View attachment 2141677
De gea sio wa kulaumu , hzo erros huwa zipo tuu , De gea ni the best Mzee , japo timu ni Tia maji Tia maji....!!! Kama defence ni mbovu , na viungo hawatawali dimba, kipa huwez fanya lolote mana unakuwa overwhelmed na mashambulizi hata ujasiri unaisha , unamkumbuka Yule Cesar wa intermillan ya mourinho alikuwa Bora sababu ya defence , hata Mendy yupo vizur sababu ya defence , kipa anakuwa na confidence kufanya clearence ndogo ndogo zinazosababishwa na defence ....

Mpak sasa nyota wa United ni De gea , mnyonge mnyongeni Ila haki yake mpeni ,
Timu ina matatizo mengi , mi naongezea tuu , tatizo jingine ni kusajili wachezaji maarufu , hawa viumbe most of the time ni uncontrollable, wabishi na wanataka wacheze kama wanavyotaka , kila mmoja anata aonekane ni the best ,

Ukiacha yote hayo bado Manchester city ni timu Bora Kwa sasa kupata ushindi ilitegemewa Sana , labda ulalamike kufungwa gori nne na sio mbili au moja
 
Back
Top Bottom