Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

IMG-20220306-WA0005.jpg
 
Zachini chini..inasemekana ralf kamwambia ronaldo atoweza kucheza mechi ya leo kufatana na mikiki mikiki yake hivyo Ronaldo nae kaona isiwe kesi ameomba asiwepo kabisa hata kwenye benchi maana kwake kukaa bechi ni fedhea.

Kwaiyo leo tutao wakosa leo

Ronaldo

Cavani

Varane

Shaw
Elanga anaweza mikiki?
 
Nimeandikaga hapa mkuu. Nikasema tujiulize kwanini united imekua kama dream ya kuua talents?

Kila aliyekuja united ka flop. Nini ni tatizo? Ila sasa washabiki maandazi wasio analyse vitu kwa ukubwa wanaanzaga kunyoosha vidole tu bila kujua tatizo ni kubwa sana.

Eti leo hii wan Bisaka anaonekana utopolo. Kuna promising right back zaidi yake na trent pale EPL katika michache nyuma iliyopita?

Mbona Maguire alikua mzuri tu Leicester. Tangu akina Di Maria, Martial, Pogba, Sancho, Baily etc.

Wote wanakuja na ku flop. Rashford was once a promising young player, leo hii hadi wakina Fode wamepewa perfect nurturing wapo ahead.

Tatizo la man u ni kubwa kuliko tunavyoona. Ila washabiki wengi hawaangalii hili swala in a big picture
Mara mia uyu Lusajo mwaikenda Biassaka overrated kama magu
 
Back
Top Bottom