The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Wapumbavu hao, Man u ndiyo ina mcost Ronaldo.Nyenyenyenye Ronaldo anai cost team.
Haya sasa kazi kwenu mashabiki washamba
Wapumbavu hao, Man u ndiyo ina mcost Ronaldo.Nyenyenyenye Ronaldo anai cost team.
Haya sasa kazi kwenu mashabiki washamba
Yametimia Goodnight GuysLeo lazima mfungwe si chini ya 2 goals Elanga ndiye forward?mna utani sana nyie nyumbu
Ronaldo kaja alikuwa anatupia, ghafla naye kageuka nyumbu watu wanakuja hapa huku wanabana pua, ronado ronado ronado, wamesahau kwamba wachezaji wengi tu walikuja moto ghafla wakageuka barafu.Kabisa mkuu
Elanga anaweza mikiki?Zachini chini..inasemekana ralf kamwambia ronaldo atoweza kucheza mechi ya leo kufatana na mikiki mikiki yake hivyo Ronaldo nae kaona isiwe kesi ameomba asiwepo kabisa hata kwenye benchi maana kwake kukaa bechi ni fedhea.
Kwaiyo leo tutao wakosa leo
Ronaldo
Cavani
Varane
Shaw
Kwa striker Elanga unatudanganya broKipara anafungwa wewe Ralf yuko makini sana gemu za away hajapoteza tangu atue Traffodi
Mara 100 Dickinson AmbundoElanga amepewa nafasi, inampasa awe mtulivu sana anapopata nafasi.
Bora Abdulmajid mangaro Wa BiasharaMagwaya na Mctomy ni uchafu.
Ila Elanga Hamfikii Christian zigah wa biasharaKuna watu akili hazimo.....ukiacha makosa mawili yaliyozaa goals za city hii man u imecheza vizuri sana tena Sana....
Elanga mbona namuona hana tofauti Sana na Yusup Athuman wa YangaYaani unatoa Elanga unaiingiza ushuzi Trashford,
Leo kocha ana sehemu ya lawama.
Mara mia uyu Lusajo mwaikenda Biassaka overrated kama maguNimeandikaga hapa mkuu. Nikasema tujiulize kwanini united imekua kama dream ya kuua talents?
Kila aliyekuja united ka flop. Nini ni tatizo? Ila sasa washabiki maandazi wasio analyse vitu kwa ukubwa wanaanzaga kunyoosha vidole tu bila kujua tatizo ni kubwa sana.
Eti leo hii wan Bisaka anaonekana utopolo. Kuna promising right back zaidi yake na trent pale EPL katika michache nyuma iliyopita?
Mbona Maguire alikua mzuri tu Leicester. Tangu akina Di Maria, Martial, Pogba, Sancho, Baily etc.
Wote wanakuja na ku flop. Rashford was once a promising young player, leo hii hadi wakina Fode wamepewa perfect nurturing wapo ahead.
Tatizo la man u ni kubwa kuliko tunavyoona. Ila washabiki wengi hawaangalii hili swala in a big picture