Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Chelsea FC iko sayari nyingine kabisa kwa ubora bila unafki kwa 80% kwa timu zote za UK.

Yani majeruhi wa5(Ng'olo, Chalobah, Wenner, Covasic na Chilwel) + wachezaji 9 waliokuwa na COVID-19 bila ya msamaha wowote wa kughairi mechi kama ilivyokuwa kwa Tottenham, Man Utd na Liverpool lakini iko nafasi ya 3 kimsimamo.

Sasa Man Utd kapatwa na majeruhi wa3 tu ndivyo kwisha kabisa habari yake

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 
United inahitaji rebuild, kwangu ni ngumu kuamini sajili za wachezaji wawili mpaka watatu next transfer window zitasaidia kuirejesha United kuwania makombe. We need a strong project and a strong manager. United inamalizwa na fan base yake yenyewe pamoja na legends. Inatakiwa United wakubali wakati wa zamani ulishapita na waachane na mambo ya DNA hata ile 'YOUTH, COURAGE, SUCCESS' inafeli.

I predict at least 2026/27 United will win their first trophy after 10 years.
 
Nimeandikaga hapa mkuu. Nikasema tujiulize kwanini united imekua kama dream ya kuua talents?

Kila aliyekuja united ka flop. Nini ni tatizo? Ila sasa washabiki maandazi wasio analyse vitu kwa ukubwa wanaanzaga kunyoosha vidole tu bila kujua tatizo ni kubwa sana.

Eti leo hii wan Bisaka anaonekana utopolo. Kuna promising right back zaidi yake na trent pale EPL katika michache nyuma iliyopita?

Mbona Maguire alikua mzuri tu Leicester. Tangu akina Di Maria, Martial, Pogba, Sancho, Baily etc.

Wote wanakuja na ku flop. Rashford was once a promising young player, leo hii hadi wakina Fode wamepewa perfect nurturing wapo ahead.

Tatizo la man u ni kubwa kuliko tunavyoona. Ila washabiki wengi hawaangalii hili swala in a big picture
i eill explaim below

ipo hv kila timu dunian ina utamaduni wake enzi na enzi mfano
chelsea wazee wa kupaaki basi big matcj
barvelona tikitaka imdirect attack
madrid professional plauers superstar only

sasa dunia imebadilika mm ni shabik wa man city ila liverpool wana mfumo mzur sn

unajua kimachoiua man u ni nn ni mfumo na kocha mbovu afu mdomo mkubwa yaan mashabik yq man u toka enzi na enzi yanaongea sasa hv wamepinga utamaduni wao ule wa soka la shoka enzi gerguson mam u huwa hawawez kumilik mpira toka enzi za ferguson wa watu wa counter tu zaman ungeweza ona barvelona ina milik mpira kwa man u na bado ikafungwa pale kulikuwa na mijitu mibish ikina paul scholes roy keane giggs na wabish wengine kiuhalisia hawa wachezaji hawakuwa na uwezo mkubwa sn ila kujituma na kuvuja kasho uwanjan ilikuwa ni jambo la lazima sasa man u wanastahili kusajili watu wa maana

mm nilishangaa shwanstiger kukosa namba pale nilivhoka ille ndio kind ya wachezaji wanastahili kuvaa jezi apo ENGINES

SASA jamaa wana hali mbaya na mdomo ni mpana km nilivyosema apo juu wanatukanana wenyewe kwa wenyewe kila siku wanamtafuta mchaw leo ni ronaldo kesho ni pogba kesho ni cavan kesho ni kocha yaan ni matus
 
Nimeandikaga hapa mkuu. Nikasema tujiulize kwanini united imekua kama dream ya kuua talents?

Kila aliyekuja united ka flop. Nini ni tatizo? Ila sasa washabiki maandazi wasio analyse vitu kwa ukubwa wanaanzaga kunyoosha vidole tu bila kujua tatizo ni kubwa sana.

Eti leo hii wan Bisaka anaonekana utopolo. Kuna promising right back zaidi yake na trent pale EPL katika michache nyuma iliyopita?

Mbona Maguire alikua mzuri tu Leicester. Tangu akina Di Maria, Martial, Pogba, Sancho, Baily etc.

Wote wanakuja na ku flop. Rashford was once a promising young player, leo hii hadi wakina Fode wamepewa perfect nurturing wapo ahead.

Tatizo la man u ni kubwa kuliko tunavyoona. Ila washabiki wengi hawaangalii hili swala in a big picture
Hilo tatizo ni nini?
 
Chelsea FC iko sayari nyingine kabisa kwa ubora bila unafki kwa 80% kwa timu zote za UK.

Yani majeruhi wa5(Ng'olo, Chalobah, Wenner, Covasic na Chilwel) + wachezaji 9 waliokuwa na COVID-19 bila ya msamaha wowote wa kughairi mechi kama ilivyokuwa kwa Tottenham, Man Utd na Liverpool lakini iko nafasi ya 3 kimsimamo.

Sasa Man Utd kapatwa na majeruhi wa3 tu ndivyo kwisha kabisa habari yake

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Nikuwa najiuliza kwann Chelsea wana wachezaji wanaoumwa covid zaidi ya tatu lakini wanacheza bila kuarisha mechi tofauti na wengine waliyokuwa na mgonjwa mmoja tu lakini mechi ikaairishwa mfano Arsenal.

Baadae nilikuja kupata jibu kuwa Chelsea inachukiwa Uingereza nzima? Wanapenda kuona Chelsea ikiboronga ndiyo furaha yao.
 
Nikuwa najiuliza kwann Chelsea wana wachezaji wanaoumwa covid zaidi ya tatu lakini wanacheza bila kuarisha mechi tofauti na wengine waliyokuwa na mgonjwa mmoja tu lakini mechi ikaairishwa mfano Arsenal.

Baadae nilikuja kupata jibu kuwa Chelsea inachukiwa Uingereza nzima? Wanapenda kuona Chelsea ikiboronga ndiyo furaha yao.
Umeandika mimavi mitupu
 
Yani wachezaji wetu Kama wanacheza sodo vile vurumai tupu,wengine wanajiangukia hovyo hovyo tu...kwa inavyoonekana tatizo la hii timu ni kubwa zaidi ya watu tunavyofikiri,hii timu mbona naona kabisa ina wachezaji tu wazuri ambao wanaweza kutusogeza pazuri Sana,Yani masikini ya mungu kipa wetu anapewa kazi za bure tu Hadi huruma,man utd Sasa hivi ni timu ya kuua vipaji vya wachezaji tu..
 
Back
Top Bottom