Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Huyu kocha mweupe kichwani, hiz ndio mechi za rashidi. Nyie viazi kama hamuwezi kushinda jitahidin hata droo basi.
 
Look mbona wachezaji wamekaa?
Screenshot_20220306-202032_Instagram.jpg
 
Kuna watu akili hazimo.....ukiacha makosa mawili yaliyozaa goals za city hii man u imecheza vizuri sana tena Sana....
Yeah, ila Pogba, McTomminay na Maguire wanapaswa kutolewa ingiza watu serious mijitu iko slow inakabia mikono.
 
Tatizo la Maguire ni kuwa na kichwa kikubwa kama Transfoma, kocha akimpa maelekezo liubongo lake kwa sababu ni likubwa linachukua muda kutafsiri maelekezo. Anashindwa kwenda sawa na kocha.
Nalichukia hatari.

Ndio linafanya tuwe kituko. Maana kila ukifikiri kituko cha Man U ni Maguire then Wan Bissaka, ila Bissaka hapana yuko poa na majukumu yake sema mbele asee.
 
Back
Top Bottom