goli litatoka wapi wakati tunamiliki mpira ila hatusogei kufanya mashambuliziKwa Atletico hii ya leo tuta-create chance nyingi sana. Wasumbufu wao kama Lemar, Suarez na Griez wapo bench ndugu yao Carrasco katulizwa ila bado Correa na Felix ni wa kuangalia sana beki akifanya blunder hawakuachi.
Atletico wapo solid sana ila muda mwingi wanaokolewa na Oblak tukiwa more clinical hii game inaweza kuisha leo. Naamini kutakuwa na magoli mengi kwenye hii mechi.