Ferruccio Lamborghini
JF-Expert Member
- Apr 15, 2020
- 1,667
- 2,619
Eti eehWale jamaa wa wanda Metropolitano wameshamaliza game zote mbili kwenye meza, mambo ya strategic plan
Home ni 1-0
Away ni 0-0

Eti eehWale jamaa wa wanda Metropolitano wameshamaliza game zote mbili kwenye meza, mambo ya strategic plan
Home ni 1-0
Away ni 0-0

Mnaongea sana Kenge nyinyi
Kuliko nyinyi mlioanza msimu na team ambayo kila mtu ataogopa kucheza nayo? Wazee wakujiita tittle contenders😅.Mnaongea sana Kenge nyinyi
At least sisi siyo tia maji kama nyinyi....Kuliko nyinyi mlioanza msimu na team ambayo kila mtu ataogopa kucheza nayo? Wazee wakujiita tittle contenders.
Lakini si tuliwaambia? Hahahhaa ni vizuri kama tayari mmeshajua kuwa mna team dhaifu.At least sisi siyo tia maji kama nyinyi....
Sisi tumejua udhaifu wa timu yetu lakini tumepoa.
Nyie timu lenu lina majina ila takataka af mnaongea sana.
Hakuna sehemu nilisema Atleti ni timu nyepesi, jeuri yao itaisha wakija OT utaona kama watapaki tena basi.Eti eeeeeh?
Sawa chiefHakuna away goal sasa hivi
Sawa chiefAway goal halina msaada wowote sasa hivi..Uefa wamefuta huo ujinga.





OvyooBora tu magoli ya ugenini yarudi ...
imagine yaani game Bado mbichi ,inaonekana hakuna mlichofanya Jana ...![]()
sifa na shukrani zinaenda kwa kinda mwingine kabisaGreenwood atakua anajuta sana.
Asije lewa sifa tusifa na shukrani zinaenda kwa kinda mwingine kabisa
utaifa wake haumruhusu, angekua muingereza najua angejaa kichwaAsije lewa sifa tu
Sawa chiefHakuna away goal sasa hivi
Sawa naona unaendeleza majigambo wakati jana mmecheza utumboHakuna sehemu nilisema Atleti ni timu nyepesi, jeuri yao itaisha wakija OT utaona kama watapaki tena basi.