Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ralf Rangnickelodeon anakuambia Maguire ni kapteni na hakuna namna atamuweka benchi anachoamini yeye Maguire ataendelea kuimarika siku baada ya siku.

Hold on:

Sasa hivi ana miaka 28.

Alinunuliwa kwa Milioni 80.

Kwamba mchezaji wa 80M unamnunua ili aje kuimarika? Na sasa anaelekea ukingoni.

Mwingine kanunua mshambuliaji kwa 100M lakini anayeongoza kwa magoli ni kiungo na huyo kiungo ana magoli 6 ya penati.
Huyo kiungo Anayeongoza magoli ni mason mount mwenye goli 7 Acha kukariri
 
Kuanzia mwezi wa 3 mpaka wa 4, sisi tusiowapenda tutakuwa na furaha sana.

Nyumbu wengi watakimbia jukwaa.

Wengine wataanza kukonda.

Wengine watakosa raha.

RAHA ILIYOJE!😂
20220216_022134.png
 
wan bissaka anatamani muda urudi nyuma, unasajiliwa kwa paundi million 50 baadae unawekwa nje na mchezaji asiyefikia nusu ya uwezo wa ashraf hakimi.
Kuna wachezaji pale tuli-flush pesa chooni. Harry Maguire na Aaron Wan Bissaka tungeweza kupata wachezaji wazuri sana kwa dau dogo sana.

Wachezaji wa kiingereza ni mtu mjinga tu atatupa pesa kuwanunua. Hawa wanapaswa kupandishwa kutokea chini mfano wa Marcus Rashford.

Leo hii jinsi anavyocheza Jadon Sancho sioni u-special wowote ambao mtoto aliyetoka academy hawezi shindwa fanya. Mf. mzuri Rashford au Greenwood.

Ubora wa Bruno Fernandes au David Degea sio rahisi kuupata academy ila Maguire, Sancho, Shaw au Bissaka mtoto yeyote wa academy akikaza anaweza kuwafikia.

Academy ina wachezaji zaidi ya 90% wenye asili ya Uingereza sioni haja ya kutumia vibaya pesa kununua wachezaji wa kiingereza. Tutumie pesa kuleta vipaji kutoka mataifa mengine. Tuweke sera ya waingereza kupandishwa kutoka timu za watoto.
 
Kuanzia mwezi wa 3 mpaka wa 4, sisi tusiowapenda tutakuwa na furaha sana.

Nyumbu wengi watakimbia jukwaa.

Wengine wataanza kukonda.

Wengine watakosa raha.

RAHA ILIYOJE!View attachment 2120985
Manchester United inapocheza dunia yote ina furaha

Kimasihara masihara mechi zote hizo tunashinda na tutamshusha Chelsea hapo alipo.
Halafu habari mbaya zaido kwako United msimu huu kiutani utani inaenda kuchukua UCL.
 
Back
Top Bottom