Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkifanikiwa kufika nusu fainali utatupa mrejesho.

Mpaka Jana tumeshafika robo final ,tunaisubili kupewa team nyingine tuisage kwenda nusu final ....!

Mimi binafsi naiona city final CL wew endelea kuteseka na hii nyumbuzi united😂😂😂
 
Kuna wachezaji pale tuli-flush pesa chooni. Harry Maguire na Aaron Wan Bissaka tungeweza kupata wachezaji wazuri sana kwa dau dogo sana.

Wachezaji wa kiingereza ni mtu mjinga tu atatupa pesa kuwanunua. Hawa wanapaswa kupandishwa kutokea chini mfano wa Marcus Rashford.

Leo hii jinsi anavyocheza Jadon Sancho sioni u-special wowote ambao mtoto aliyetoka academy hawezi shindwa fanya. Mf. mzuri Rashford au Greenwood.

Ubora wa Bruno Fernandes au David Degea sio rahisi kuupata academy ila Maguire, Sancho, Shaw au Bissaka mtoto yeyote wa academy akikaza anaweza kuwafikia.

Academy ina wachezaji zaidi ya 90% wenye asili ya Uingereza sioni haja ya kutumia vibaya pesa kununua wachezaji wa kiingereza. Tutumie pesa kuleta vipaji kutoka mataifa mengine. Tuweke sera ya waingereza kupandishwa kutoka timu za watoto.
Kuna mbwa ana Mearson anasema Man Utd ivunje benki imchukue Declan Rice.

Na kuna mipumbavu itafanya hivyo.
 
Manchester United inapocheza dunia yote ina furaha

Kimasihara masihara mechi zote hizo tunashinda na tutamshusha Chelsea hapo alipo.
Halafu habari mbaya zaido kwako United msimu huu kiutani utani inaenda kuchukua UCL.
Ndoto hizi
 
Eti nasikia Maguire na Rashford wanabishia Ronaldo influence in dressing room.

Maguire???

Huu uchafu wa kiingereza sio poa.

Limaguire sura kama korosho,

Nina hasira sana.

Na haka Trashford kazi kutema tema mate kanajifanya kana hisa na timu.

Huu ujinga yote sababu ya kuwa na wamiliki hovyo wasiojua mpira, sidhani huu ujinga utaupeleka kwa Mansour, Ibrahimovic, watu wanaotoa pesa zao alafu unaleta ujinga.
 
Lini tutampa Kocha full control ya wachezaji kama Fergie, akisema huyu hamtaki bodi inamuondoa by kuvunja mkataba au kumuuza, utovu wa nidhamu piga benchi haijalishi we nani?

Kelele kingi unawekwa mbali na wengine.

Makocha wanazidi kuadimika asee, hizi dharau za wachezaji kwa makocha zimezidi, yote kisa klabu kusikiliza wachezaji badala ya kocha.

Eti kambappe hakataki kufanyiwa sub.
Shit.

Pep, Mourinho waishi maisha marefu.

Man city ina wachezaji ambao wangekua man u wangekua full mabishoo, sema kocha kanyoosha wote, ukileta ujuaji piga chini na hakuna pengo lako.
 
Lini tutampa Kocha full control ya wachezaji kama Fergie, akisema huyu hamtaki bodi inamuondoa by kuvunja mkataba au kumuuza, utovu wa nidhamu piga benchi haijalishi we nani?

Kelele kingi unawekwa mbali na wengine.

Makocha wanazidi kuadimika asee, hizi dharau za wachezaji kwa makocha zimezidi, yote kisa klabu kusikiliza wachezaji badala ya kocha.

Eti kambappe hakataki kufanyiwa sub.
Shit.

Pep, Mourinho waishi maisha marefu.

Man city ina wachezaji ambao wangekua man u wangekua full mabishoo, sema kocha kanyoosha wote, ukileta ujuaji piga chini na hakuna pengo lako.
Inshu sio full control.Inshu ni matokeo.

Kama kocha ata endelea kupata matokeo mazuri baada ya kuacha kuwajumuisha wachezaji asio wahitaji.Bodi haiwezi kuwa na haja nao tena zaidi ni kuvunja mikataba yao.

Afu kingine kuepusha pressure.

Pressure itakuwa kubwa Kwa kocha ikitokea kwa mastar wa timu hawakujumuishwa kwenye kikosi au wamewekwa benchi na timu bado haipati matokeo.

Pep ndicho kinacho mbeba.
Wachezaji flani hawapangi kwenye kikosi chake lakini bado anapata matokeo na makombe anabeba.
Ivo Ivo ilikuwa Kwa Sir Alex Ferguson
 
Hii kusema hatukuwa na bahati tunasema kila siku humu, rejea posts za nyuma..

Tuanzie match 3 za nyuma..

Vs Middlesbrough on target 9
Vs Burnley on target 5
Vs Southmpton on target 8

Ya Middle tukatoka kwa penalty, Burnley draw, Saints draw. Kama ilivyo kwenye set pieces, sio bahati, tunashindwa convert chances, ni tatizo
Siyo kukosa bahati hatuna umakini
 
Back
Top Bottom