Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mechi zote hizo mbili kama Shaw angetuliza mat*ko zingekuwa offside badala yake kafanya watu wawe onside. Kuanzia mechi ijayo inatakiwa Maguire na Shaw wakae bench.

Umakini ndiyo kitu mabeki wetu wanakosa. Mtu mwingine wa kuangalia ni Dalot ni heri acheze Bissaka kwa hali tuliyonayo kama tuna uwezo wa kufunga goli moja tu kila mechi basi tunahitaji watu wa kulilinda.
Dalot tulidhani atasaidia offensively lakini hakuna cha maana anachofanya..krosi za ajabu ajabu tu anapiga..na kukaba+ positioning tunajua sio wa daraja la juu.

Shaw ni jipu..ana the worst positioning intelligence ever.
 
Wazee acheni utoto....tatzo la united ni muumba yank sir God pia management na makocha.....wachezaji aje nani ili tuwe bora??? Nijibuni hapa?

Km tatzo ni wachezaji em shauri aje nani ili tuwe bora???
 
jamani mnamfatilia Vlahovic inabidi tupate mtu kama huyu jamaa ni mashine hata halland haoni ndani
 
Angalieni hi vid ya goli la southampton mumuone rashord halaf kuna wachezaji mmewatoa mnasema wavivu na wengine hawapo feet kucheza legeu ya uingereza ! Rashfor kwenye mambo 20 mawili ndo yatakuwa mazuri
20220213_234736.jpg
 
Watu wasahaulifu sana leo wanamsifia Ole tulikua tunafungwa goli 4 mfululizo mechi zake za mwisho leo wanasema tulikua hatufungwi sana.

Hii timu nionacho matatizo hayawezi kwisha labda ni nature sijui inaamua ila siioni ikisimama tena kwa sasa ni project ya miaka angalau mi4 mbele tena ya kocha wa kueleweka na wachezaji tofauti na waliopo,

jana mpaka tunafungwa Rashford anafanya jogging tu hakabi mpaka mtangazaji ameliongelea tuna wachezaji wavivu sana haiwezekani first half mcheze vizuri sec half mnaharibu tuseme ni mwalimu hata aje pep hapo hao mastaa wetu hawataki kubadilika na wameamua kucheza simple football zao za ole.
 
Watu wasahaulifu sana leo wanamsifia Ole tulikua tunafungwa goli 4 mfululizo mechi zake za mwisho leo wanasema tulikua hatufungwi sana.

Hii timu nionacho matatizo hayawezi kwisha labda ni nature sijui inaamua ila siioni ikisimama tena kwa sasa ni project ya miaka angalau mi4 mbele tena ya kocha wa kueleweka na wachezaji tofauti na waliopo,

jana mpaka tunafungwa Rashford anafanya jogging tu hakabi mpaka mtangazaji ameliongelea tuna wachezaji wavivu sana haiwezekani first half mcheze vizuri sec half mnaharibu tuseme ni mwalimu hata aje pep hapo hao mastaa wetu hawataki kubadilika na wameamua kucheza simple football zao za ole.
ila kwa ole nawashangaa sana
 
Watu wasahaulifu sana leo wanamsifia Ole tulikua tunafungwa goli 4 mfululizo mechi zake za mwisho leo wanasema tulikua hatufungwi sana.

Hii timu nionacho matatizo hayawezi kwisha labda ni nature sijui inaamua ila siioni ikisimama tena kwa sasa ni project ya miaka angalau mi4 mbele tena ya kocha wa kueleweka na wachezaji tofauti na waliopo,

jana mpaka tunafungwa Rashford anafanya jogging tu hakabi mpaka mtangazaji ameliongelea tuna wachezaji wavivu sana haiwezekani first half mcheze vizuri sec half mnaharibu tuseme ni mwalimu hata aje pep hapo hao mastaa wetu hawataki kubadilika na wameamua kucheza simple football zao za ole.
Ole presha tu babu lkn alikuw ameifufua team aliweka record nying san mpk alishinda mech 15 mfululizo bila sale
 
Ole presha tu babu lkn alikuw ameifufua team aliweka record nying san mpk alishinda mech 15 mfululizo bila sale
tulifika wapi sasa zaidi ya top 2? tumpe RR nae miaka mi4 kama Ole ndo tuanze kumkataa ila kwa sasa tunamuonea tu timu ilishajifia.
 
Dean Henderson Manchester United second choice GK was arrested for assaulting his girlfriend.

#MUFC



Kama kawaida
 
Hawa ndo walikuwa wachezaji huwezi amini leo tuna lizigo pale nyuma tumelinunua kwa hela nyingi afu halina kitu mbaya zaidi tumelipa na ucaptainView attachment 2119135
Manin.a cheki watu walivyokuwa wanapiga mzigo..

Kina Vidic wakikaa sebuleni kuwaangalia kina Maguire watakuwa wanasikitika sana how things have been heading south.
 
Najua timu hii ina matatizo mengi..lakini nimeamua kuangalia basics tu..

✓Ronaldo jana alikuwa anaharibu kila flow of play anapojumuishwa kwa kupewa pasi..hawezi kuturn hawezi kupiga pasi nzuri kwa wenzake...sasa mashambulizi yatatokea vipi?...Ronaldo amezeeka next season tujipange..kocha mwenye akili akija usitegemee Ronaldo ndo awe our main no 9.

Kuna game hutegemei sana hata ubora wa kocha kushinda..ndo maana hata kipindi cha Ole tulikuwa na brilliance moments kibao tu na run nzuri ya form..lakini hili liliwezeshwa na wachezaji kucheza basics(kucheza above average).

Again..Maguire,Shaw,Ronaldo wameshindwa kufanya vitu basic mchezoni..na wanachangia pakubwa kwenye matokeo yetu na hivi karibuni.
Patrick Schick
 
Back
Top Bottom