Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,300
- 46,749
Huyu ni wakutimuliwa..hakuna anacho deliver.Toka ameajiliwa hatujawahi kabisa kufunga kwenye set play au yeye hatakiwi kufukuzwa ?
Huyu ni wakutimuliwa..hakuna anacho deliver.Toka ameajiliwa hatujawahi kabisa kufunga kwenye set play au yeye hatakiwi kufukuzwa ?
Imagine a team with the likes of mata matic bissaka grant fred on the bench agu unategemea ushinde kweli
Pili tukubali tukatae Ronaldo kwetu kwa sasa ni mzigo
Bora ulivyosema hopes maana 2023/2024 ARSENAL THE GUNNERS wanachkua EPL.Title hopes kwa Man united ni 2023/2024.
A new rebuild is about to start soon.
VBora ulivyosema hopes maana 2023/2024 ARSENAL THE GUNNERS wanachkua EPL.
This year tunaingia top four, next year tunakuwa serious contender na 2023/2024 tunalibeba






Sasa kwanini umtukane Elanga wakati game ilitakiwa kumalizwa mapema?Wewe umeona tu kukosa penati hujaona kwamba ile game tulikua tunaimaliza mapema?
Elanga sawa katulaza na viatu tunaweza kumlaumu kwa hasira za kishabiki lakini mechi tulikua tunaimaliza mapema sana
Inabidi afukuzwe mwisho wa msimu.Huyo specialist anakunywa tu mvinyo carrington..
Ni siku nyingi sana tumefunga from set pieces..achilia mbali kujilinda hizo set pieces.
Ole alituletea vituko sana.Eric Ramsay ametoka chelsea u23,
First team chelsea yuko Anthony Barry ambae aliletwa na super frank
Ukisoma vizuri utaona nimelaumu timu nzima kuna sehemu nimeandika hii timu imekua tia maji tia maji natamani niyashike machezaji niyalambe makofi.Sasa kwanini umtukane Elanga wakati game ilitakiwa kumalizwa mapema?
Kwanini usingewatukana waliokosa manafasi ya wazi?
Sioni ajabu mchezaji kukosa penalt.
Usibebwe na ujinga wa racism.
Daah! Hivi huu mzigo bado haujauzwa tuu!?Flamengo have verbally agreed with #mufc to buy 75% of Andreas Pereira's economic rights. A deal could reach up to €14m. The rest of the deal will be paid in individual and team add-ons #mulive
Acha bwanaHao mpaka HT watakuwa wamekula 3

Mkuu huwa unajiaibisha kweli kweli bora unyamaze tuKosi la dunia on the TOP.
Moja ya mashabiki wenye emotional intelligence (EQ) ndogo sana barani ulaya ni waingereza yale mazungu majinga sana.Sasa kwanini umtukane Elanga wakati game ilitakiwa kumalizwa mapema?
Kwanini usingewatukana waliokosa manafasi ya wazi?
Sioni ajabu mchezaji kukosa penalt.
Usibebwe na ujinga wa racism.