Ni Yeye TuHv huyu McNair wa Middlesbrough ndo yule alikuwaga man utd?

Yan had tumeshasahau mwisho tulifunga linSijui magoli ya kona yatafungwa lini
Kitu kizuri unaona mbinu tofauti katika upigaji wa kona leo....its a matter of time. Unaona kabisa makocha wanafanyia kazi hili sualaSijui magoli ya kona yatafungwa lini
Ukifuatilia michuano ya Carabao na FA timu kubwa huwa zinatolewa matuta na nahisi timu za lower divisions huwa zinajipanga sana kwenye matuta. Kama tukifika matuta ile penalty miss ya Ronaldo itashusha confidence ya wachezaji wetu.Hawa madogo wasije kutatoa kwa mafuta!