Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

tumecheza vizuri, tumepot3za nafasi nyingi.....la msingi msimu ujao tuwe na namba 9 ya kueleweka Ronaldo umri umeanza mtupa mkono
Mkuuuu syo umeanza kumtupa mkono tayari hakuna kitu miaka 36+ bado kijana tu hapna mkuuu hyo ni kibabau cha makumbusho
 
FT imeisha 1 - 1 kwasababu hatutumii vizuri nafasi tunazopata, kufungwa goli 1 siyo shida kama unaweza kufunga 3 na hicho ndiyo tunakikosa.

Mpaka hapa msimu ulipofikia sina cha kuwadai Manchester United zaidi ya top 4 kwenye PL kama ikitokea watashinda kombe lolote msimu huu kwangu itakuwa ni bonus tu. Tuna msimu mbaya sana nategemea tutaanza vizuri msimu ujao.
Hamna chenu top 4 muisahau, uefa soon mtaachia ngazi.
 
Ninachokiamini mimi;
Msimu huu top 4 hakuna sababu ya kushindwa kusajili wachezaji wa kuimarisha kikosi,matokeo yake tutashindwa kuwavutia wachezaji wazuri wanaotaka kucheza UCL msimu ujao.
 
Sio kwamba Jana mmecheza vibaya ...

ila jina la red devil limewaponza ...no lucky kabisa
 
Nyie kenge amkeni pumbavu, jana mmetulia hela zetu, hakuna ruhusa ya kulala
 
Yule nyumbu anaezunguka na kupost utopolo wake kwenye majukwaa ya WANAUME bado amelala?
 
Ushoga mtupu.

Nililewa nikaja kushtuka kipindi cha pili..vijamaa vinaruka ruka tu..

Nikaja kujua pia Ronaldo kakosa penalt.. wtf,..Ronaldo ndo anayefanya Fernandes aonekane choko uwanjani.

Note:nina shots kadhaa kichwani.
Mmeshaanza kuitana machoko sio
 
Back
Top Bottom