Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Matakataka Kama matakataka ..nyie ni zaid ya makenge ..huu msimu mutajua kuwa hamujui...
 
Wiki ijayo unashikwa tena makalio na Tottenham Hotspur.
Yaani mwaka huu usipopata mimba utakua ni mgumba.
Kwenye ratiba yetu ya January mulisema tutapoteana atimaye tumepoteza game moja tu ..subiri uyo Spurs tumywe supu.

Ninyi pambaneni msimu ujao mushiriki hata europa
 
Kwenye ratiba yetu ya January mulisema tutapoteana atimaye tumepoteza game moja tu ..subiri uyo Spurs tumywe supu.

Ninyi pambaneni msimu ujao mushiriki hata europa
Nyie ndo hata msiongee, sisi wabovu cha ajabu tunazidi kuwasogelea tu, nyie soon mnatoka top 4.
 
Kwani lazima kila mchezaji auzwe?..wengine waondoke tu kama free agents..wale walioperform above standard wanaongezewa mkataba kama wanataka kubaki United..simple..
Kuuza muhimu mkuu, hasa kwa bei za siku hizi timu zinatoa hadi 100m.
 
Kuna tetesi zinazoendelea kuwa board wanamtaka Pochetino achukue timu wakati mapendekezo ya RR ni Ten Hag.
Kwa mkanganyiko kama huu unajiuliza walimchukua kama mshauri wa ufundi ili iweje?
Board wanamtaka Ole mwingine. A yes man coach.
 
Wachezaji hawa ambao wanasubiria mikataba iishe waondoke bure ukiwapa mitatu sahau kuwauza.
Wataishia kubembeleza waongezewe mikataba waendelee kula hela za bure.

Martial mpaka sasa anashindwa kuondoka kwasababu hakuna timu yenye uwezo wa kumlipa.

Rashford hana jeuri ya kuondoka bure kwasababu hakuna timu itakayoweza vumilia ujinga wake na mshahara wake.
 
Nyie ndo hata msiongee, sisi wabovu cha ajabu tunazidi kuwasogelea tu, nyie soon mnatoka top 4.
Hizi ni ndoto za mchana kabisa sisi kumaliza nje ya top four, sisi tunawaza ubingwa, ninyi munawaza top 4 ..huoni tofauti hapo? Ninyi kuingia top six tu itakuwa ni ushindi mkubwa Sana kwenu.

Una kosi la dunia la kwenye paper ..on the pitch ni utumbo mtupu😂😂😂🤣🤣
 
Back
Top Bottom