Ndio ninachokisema, wamuuze tu hana tena morale ya kucheza na akili yake inawaza kusepa, hizi nyingine mboyoyo tu anajitetea, RR maybe kaangalia wachezaji wanaotaka kucheza, mtu kashaomba kuondoka bado upambane kumweka 1st 11 wa nini?
Fatilia situation ya Halland na Dortmund kama alivyoreport Fabrizio jana, Dortmund wanataka Halland adecided future yake sasa hivi ili waanze msako mapema wa replacement, Man U Martial kasema anataka changamoto mpya ila board ipo tu sidhani kama hata kuna mipango ya kuangalia eneo hilo, nilisikia wanataka kumtoa Amad kwa mkopo, Sancho mwenyewe unga unga mwana jana kajaribishwa Elanga ngoja tuone