Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wajinga wanataka faida wakati kwa hali tuliyo nayo tunatakiwa kuangalia kwanza hali ya uwanjani
mpaka kesho nitamlaumu ole kwa uamuzi wake wa kumbakisha lingard asiyekuwa na matumizi naye. tumekosa hela kipumbavu, release clause ya perreira ni euro million 15 au zaidi si ajabu klabu imechelewa kufanya maamuzi labda ni kwa sababu ya udogo wa ofa yao
 
Hii timu imepoteza watu wenye macho ya kuona vipaji vinavyochipukia matokeo yake wanakimbilia proven players ambao kimsingi kuja kwao united ni kutunisha mifuko yao tu.
Ni kama vile hii kazi ya scouting inafanywa na ndugu hivyo hawataki kuumiza vichwa zaidi ya kumtaja mchezaji ambaye hata mimi namuona.
hapo kwenye scouting report. unaambiwa ed woodward ndiye alikuwa mzinguaji wa kufanya maamuzi
 
Vitu watu wa Manchester United wanaeza enjoy tu ni memoriesenzi za furge ,wanaishi na past events kwenye karne hii ya 21 ...

Huko insta admin wao anashinda anatafuta clip za legends za mwaka 90 walivokuwa wanafunga ndio anapost

Kutwa humu kutype go go man united kumbe timu yenyewe inarud reverse....
 
Vitu watu wa Manchester United wanaeza enjoy tu ni memoriesenzi za furge ,wanaishi na past events kwenye karne hii ya 21 ...

Huko insta admin wao anashinda anatafuta clip za legends za mwaka 90 walivokuwa wanafunga ndio anapost

Kutwa humu kutype go go man united kumbe timu yenyewe inarud reverse....
 
Fans wa United wanahisi Pochettino ni dawa yao katika kurudisha makali kumuacha Ralf na kua na Poch ni umefuta Bakari na kuandika Beka. Poch atakua kama Mou nenda rudi yake ndani ya EPL at the time mnazidi kushuka.

Kuna mkuu hapo (daemushin) anasema recruitment ya wachezaji ilikua hafifu lakini kikosi cha united pound for pound ni level moja na City, Chelsea na Liva its the reason hata mkisuluhu inakua ni habari. Notice kwamba msimu unaanza mlijitambulisha kama title contender na hata squad ilisapoti huu utambulisho.

Kikosi on paper ni kizuri. Kwanini hakideliver? Shida ni kocha anashindwa exploit the best outta the squad. Bruno anafika Wolves ipo hoi within few games kashajua strength ya timu na Wolves inaenda vizuri, Conte kafika Spurs kajitahidi kuitransform kiuchezaji ni vile spurs finds a way to be spurs.

Now una Ralf a coach ambaye kwenye rekodi za trophy siyo mzuri ila ana theories nyingi juu ya formation and what not, hapo umetoka kwa Ole mwenye rekodi ya kushusha timu daraja. Mkuu fuentte anaamini Ralf akiwa kocha mwenye maamuzi 100% itasaidia. Mou amechukua Europa na hichi kikosi huku hana maamuzi 100% so utatoka kwa Ralf unaenda kumuamini Pochettino?

Nafikiri ni vile mtu ukiwa unazama unashikilia chochote.
 
Back
Top Bottom