fuentte
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 3,210
- 9,206
Wajinga wanataka faida wakati kwa hali tuliyo nayo tunatakiwa kuangalia kwanza hali ya uwanjanidenis zakaria ni pogba aliyechangamka, upande wa pili flamengo wametumia ofa ya euro millio 10 kwa ajili ya perreira ila klabu haijatoa uamuzi. hiyo pesa inatosha kumsajili denis zakaria


