D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,022
bila ya kusajili midfield kwa dirisha hili tujiandae na conference leagueNeves kila siku ni tetesi tu![]()
bila ya kusajili midfield kwa dirisha hili tujiandae na conference leagueNeves kila siku ni tetesi tu![]()
Kiukweli wachezaji wana tu disappoint sn.Hivi shida ya hii timu ni nini jamani?
bila ya kusajili midfield kwa dirisha hili tujiandae na conference league
ndio kwa sababu ya maamuzi ya kukurupuka tunayopendelea kuyafanyaAlie tuita NYUMBU hakukosea kabisa
Ralf will turn things around.Hii timu inahitaji kocha mzuri. Ralf hawafai. Wanyang'anyeni Wolves kocha
ningelikuwa na simu kubwa ningelikuwekea link ya hiyo habari usome.Hahaaaa eti katika wachezaji 800 akaibuka mkata viuno Bissaka. Huyo Tariq kazi kukimbia tu hakuna lolote
Hawa kilichobaki wamchkue Jamhuri KihweloLeo kocha kaweka 4 2 3 1 lakini bado struggling kwenye possession na uwezo wa chini kupiga pasi umeonekana.
Hii timu inahitaji kocha mzuri. Ralf hawafai. Wanyang'anyeni Wolves kocha
sehemu sahihi ya ralf ni ushauri, tumekuwa na rekodi mbovu sana ya kufanya maamuzi ya ovyo hivyo tunamuhitaji zaidi kwa kazi hiyo. murtough na fletcher kuwategemea peke yao ni kujidanganya.Ralf will turn things around.
Kitu cha msingi ni kumpa mamlaka kamili juu ya sajili za wachezaji pale united kama alivyofanya Pep pindi anakuja city.
Na ndio hapa nawashangaa Gunners wenzangu wanaosema ili timu yetu iwe Bora haswa tajiri amwage tu mapesakibaya zaidi huna uhakika wa kutimiziwa mahitaji yako kwa dirisha moja. pochettino yupo desperate na soka la uingereza hivyo ni rahisi kuja. wale midfields wa aston villa pamoja na beki zao za pembeni zina uhakika wa kucheza ndani ya timu yetu. tumetumia paundi billion 1 lakini bado timu haionyeshi ahueni
Unapakuliwa weweHawa kilichobaki wamchkue Jamhuri Kihwelo
Kama usajili wa Ronaldondio kwa sababu ya maamuzi ya kukurupuka tunayopendelea kuyafanya
Hahaahahhahaahahaah
Kwani united wamefungwa Leo mrembo Wangu?Hahaahahhahaahahaah
Tulisema mapema matusi na kejeli hatutaki.
Funga mbwa haooooo
Mkuu umeikumbuka namba 804 ya watahiniwa wa Ole ili kumpata Wanbisakaukimuongezea wan bissaka tuliyemsajili kwa paundi million 50. kituko zaidi usajili wa wan bissaka unaambiwa takriban wachezaji 800 walifanyiwa utafiti halafu yeye akaibuka kinara, inaumiza na kustaajabisha. now tunavumishiwa kumhitaji tariq lamptey kwa paundi milion 30
Achana na mimi wewe.
pesa ikalenge wachezaji sahihi wanaoendana na falsafa za mwalimu husika au timu.kwa mfano chini ya guardiola hutoshuhudia mchezaji aina ya yanga mbiwa kwa sababu haendani na fikra za mwalimu. sijaangalia mechi za academy na zile za wanawake ila naamini man city wameshaingiza falsafa inayofanana ya kiuchezaji kwa timu zoteNa ndio hapa nawashangaa Gunners wenzangu wanaosema ili timu yetu iwe Bora haswa tajiri amwage tu mapesa
Nisamehe bibie najua wadada mnapokuwa kwenye siku zenu mnakuwaga na hasira sana forgive me pleaseAchana na mimi wewe.
Usiniletee shobo zako za kijinga
kigezo chao walisema atabadilika kwa sababu bado ni mdogo, kama kumbadili mchezaji ni jambo rahisi mbona alishindwa hatimaye akamhitaji trippier.Mkuu umeikumbuka namba 804 ya watahiniwa wa Ole ili kumpata Wanbisaka
Hii timu imepoteza watu wenye macho ya kuona vipaji vinavyochipukia matokeo yake wanakimbilia proven players ambao kimsingi kuja kwao united ni kutunisha mifuko yao tu.tulimuacha fabinho tukamkimbilia matic mwenye miaka 29.