Chef
alikamwe-20220115-0001.jpg


Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
Hahaaaa eti katika wachezaji 800 akaibuka mkata viuno Bissaka. Huyo Tariq kazi kukimbia tu hakuna lolote
ukimuongezea wan bissaka tuliyemsajili kwa paundi million 50. kituko zaidi usajili wa wan bissaka unaambiwa takriban wachezaji 800 walifanyiwa utafiti halafu yeye akaibuka kinara, inaumiza na kustaajabisha. now tunavumishiwa kumhitaji tariq lamptey kwa paundi milion 30
 
Kocha anayejielewa hawezi kukubali hii timu..only those who are desperate ndo watatamani hii kazi..
kibaya zaidi huna uhakika wa kutimiziwa mahitaji yako kwa dirisha moja. pochettino yupo desperate na soka la uingereza hivyo ni rahisi kuja. wale midfields wa aston villa pamoja na beki zao za pembeni zina uhakika wa kucheza ndani ya timu yetu. tumetumia paundi billion 1 lakini bado timu haionyeshi ahueni
 
Back
Top Bottom