martinezstavo
JF-Expert Member
- Jun 30, 2020
- 735
- 1,560
Dah mpaka kichwa kinauma
Dah mwaka huu kitachotuua ni hii timuhaya muhindi na wewe mwenye akili nani?
Kumbe na wewe ni nyumbu...kule kwenye majukwaa ya wanaume unatafuta nini??Hii mechi ingependeza yule dogo Elanga aanze leo hawa wakina rashford wanacheza mpira kama washabeba kila kombe kwenye carrier yao vile.
Malizia hivi...KOSI LA DUNIANaona sura mpya mpya leo tuone kwa kosi hili.View attachment 2082648
jukwaa la wanaume ndo lipi hilo na mm nijeKumbe na wewe ni nyumbu...kule kwenye majukwaa ya wanaume unatafuta nini??
Yaani kuangalia game ya United siku hizi inataka moyo sana aiseeHatuna timu wakuu..
Very inconsistent players..non -aggressive..
Stamina sifuri kabisa..
De Gea tu ndo anajua anafanya nini uwanjani.
Mishahara mikubwa ndo kitu tunachoweza..
Shida kubwa ni wachezaji kudekezwa, kocha anatakiwa awe mkali kama kipara, ukizingua haangalii wewe ni nani utasugua benchi mpk akili ikae sawa.Hivi shida ya hii timu ni nini jamani?
Zunguka utalionajukwaa la wanaume ndo lipi hilo na mm nije
Njoo kwenye payroll sasa..ndo utacheka ufe..Yaani kuangalia game ya United siku hizi inataka moyo sana aisee
Mbona mnaongoza ligiHivi shida ya hii timu ni nini jamani?
Sancho wamepigwa aisee...Njoo kwenye payroll sasa..ndo utacheka ufe..
Mfano tu sancho eti £350k..kanaingia kazi kupoteza mipira tu
tunaadhibiwa kwa sababu ya poor recruitments kwa wachezaji. namuonea huruma kocha ajaye.Hatuna timu wakuu..
Very inconsistent players..non -aggressive..
Stamina sifuri kabisa..
De Gea tu ndo anajua anafanya nini uwanjani.
Mishahara mikubwa ndo kitu tunachoweza..