Saiss n mchezaji WA wolves manLEO TUNA ADVANTAGE LILE JAMAA LINAITWA SAISS LIKO AFCON.View attachment 2076321
Hii suala ni kweli kabisa. Hata ubora wa city,liverpool na chelsea uko kwenye intensity with and without the ball.Rangnick: "Whenever you watch games, even if it's not the top teams, they play with intensity, they play with physicality, they play with energy and they sprint. This is what we have to do. We have to develop into this kind of team."
Inabidi kisionekane kabisa hata benchi mwezi mzima,itakuwa powa saana.Naona kirusi hata benchi hayupo. safi sana RR.
Kabla hata ya hicho kirusi tulikuwa tunafungwa na mbaya zaidi hata UCL hatukuwepo na hata tukiwepo ilikuwa ni kipigo tu.Naona kirusi hata benchi hayupo. safi sana RR.
Yaani hapa Man United wanapumulia mashine tu.Bado sijaona afueni yoyote, mipira tunapoteza kizembe, beki nazo zinatoa boko, cha kushukuru kipindi cha kwanza Villa bahati haikua yao la sivyo ubao ungesomeka Man 1 - Villa 2.
Utoto utoto bado ni mwingi, kuomba tu kipindi cha pili matokeo yabaki kama yalivyo ila hii timu mpaka ije ikae sawa inahitaji reformation ya hali ya juu.