kacnia
JF-Expert Member
- Sep 16, 2014
- 4,025
- 15,809
wachejazi wanakata upepo mapema sana, ningekuwa kocha, nafasi ya greenwood angekuwa anacheza elanga kuanzia mechi zijazo, yani dogo ana ubinafsi unaowafanya wenzake watoke mchezoni pale mbele, hebu fikiria dogo hakabi then nafasi chache zinazopatikana anashindwa kutoa pasi, anapiga kishuti mtoto, inatia hasira sana kucheza na mchezaji wa aina yake, huo ujinga anatakiwa kuufanya timu inaongoza hata goli nne bila sio kipindi timu inapambana kuteka mechi, this kid needs a harsh treatment mpaka akili imsogee