Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mbona unakimbia hoja
No sijaikimbia nimesema nilichokiona. Umesema alichosema kocha wenu which means yeye ndiye atakua sahihi kushinda mimi sasa nikiendelea kusema siyo hivyo si nitakua kichaa?

Ingekua ni maoni yako wewe shabiki mwenzangu hapo ningeendelea kutetea nilichoona ila siyo kwa kocha aliyepanga kikosi.
 
Chelsea kacheza 4 2 2 2?

Naomba nitajiwe mawinga walikua nani na nani na ST mwingine ukiacha Lukaku alikua nani.

Tuchel hajawahi kubadili formation akashinda. Alibadili akafa tano akabadili akasuluhu Spurs wachovu ndiyo wamemsaidia kujishindilia jiti
HATER @ his best....Tuchel alibadiri Mzee Acha chuki sasa duh
 
HATER @ his best....Tuchel alibadiri Mzee Acha chuki sasa duh
Hivi vinega ukiandika kitu kisichowapamba wanakimbilia kukuita hater kwani mbona mna inferiority complex nyinyi? Mmoja naye katoka kusema hivyo hivyo yaani mpo kama kasuku mmefundishwa neno moja tu na halihusiani na mpira
 
Hivi vinega ukiandika kitu kisichowapamba wanakimbilia kukuita hater kwani mbona mna inferiority complex nyinyi? Mmoja naye katoka kusema hivyo hivyo yaani mpo kama kasuku mmefundishwa neno moja tu na halihusiani na mpira
Wewe NI hater hakuna cha inferiority complex wala nn....comment zako kibao zinajieleza...ni hayo Tu
 
Wewe NI hater hakuna cha inferiority complex wala nn....comment zako kibao zinajieleza...ni hayo Tu
No. Hua mnazurura majukwaa ya watu kuwaita takataka na hua hatukimbilii kuwaita hater badala yake tunajibu hoja. 😂😂😂 Wewe umeopt kuita watu hater? Ajabu na kweli hii
 
Klabu ya Manchester united imeripotiwa kumpa mkataba wenye ofa ya mshahara wa £500k kwa wiki kiungo paul pogba,ambapo pogba akisaini mkataba huo atakuwa ni mchezaji anayelipwa zaidi katika historia ya ligi kuu uingereza.[@MailSport ]
 
ᴴᴱᴿᴱ ᵂᴱ ᴮᴱᴸᴼᴺᴳ

manutd |
#GGMU
IMG_20220107_141444_255.jpg
 

Attachments

  • IMG_20220107_141548_204.jpg
    IMG_20220107_141548_204.jpg
    130 KB · Views: 22
Doubts are already being expressed over Rangnick's training techniques and the calibre of coaching staff he has brought to #mufc after Chris Armas and Ewan Sharp joined United until the end of the season [Daily Mail]

manutd |
#GGMU
IMG_20220107_141548_204.jpg
 
Klabu ya Manchester united imeripotiwa kumpa mkataba wenye ofa ya mshahara wa £500k kwa wiki kiungo paul pogba,ambapo pogba akisaini mkataba huo atakuwa ni mchezaji anayelipwa zaidi katika historia ya ligi kuu uingereza.[@MailSport ]
Hivi kwani siyo Ronnie anapokea £510k per week?
 
Hii timu soon itageuka Barcelona..

Kama pogba atapewa mkataba wa 500k kwa wiki

Ronaldo akivuta 510k

Lingard atataka 500 k ..

Rashford na yeye ...

 
Klabu ya Manchester united imeripotiwa kumpa mkataba wenye ofa ya mshahara wa £500k kwa wiki kiungo paul pogba,ambapo pogba akisaini mkataba huo atakuwa ni mchezaji anayelipwa zaidi katika historia ya ligi kuu uingereza.[@MailSport ]
Ushuzi mtupu..
 
Rangnick is late for today's press conference because he wanted to get changed after being caught in the Manchester rain #mulive [men]

Kweli matatizo yameamua kuiandama hii timu.
 
Rangnick was disappointed with Luke Shaw's comments after the loss to Wolves. Shaw's interview did not come as a huge surprise and there are concerns that if the issues are not fixed, #mufc's hopes of Champions League football next season will fade [ESPN]


manutd |
#GGMU
 
Phil Jones is in contention for #mufc's next match against Aston Villa in the FA Cup on Monday [BBC].

In the months leading up to his first game back, Phil Jones played a couple of games for #mufc Under-23s. After one of those matches, he gave the youngsters a talk at full-time and then did an informal question and answer session. The players appreciated it [BBC]

manutd |
#GGMU
 
Back
Top Bottom