Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Pogba akijiandaa ku press kwenye mfumo wa GENGENI DRESSING
2583851_IMG-20200916-WA0010.jpeg
 
Ronaldo ni kirusi .....

Yeye anapigania kuweka takwimu vzuri ,hata kma club isiposhinda chochote ,takwimu zake zinambeba...


Badala team icheze as a team inamnufaisha mtu mmoja Ronaldo (kuscore )...

Unaweza kujua kwanini Juventus ilikuwa inastruggle wakati ukiaangalia takwimu za Ronaldo zina tishaa...


inahitaji akili ya ziada kujua kuwa wachezaji hawana morali kwa sababu ya Ronaldo ,...hawachezi kitimu ,Wanacheza kumnufaisha Ronaldo ....

Mnapoelekea timu inaweza maliza nje ya top four lakin Ronaldo ni top scorers epl ...lakini mashabiki wa man u hawawezi elewa kwanini hili linatokea ....

Juventus tu ndio wameliona ,Tena wamekuja kushtuka muda umeenda

Kwa Sasa ronaldo sio mchezaji Tena ni mfanyabiashara ,na anahakikisha sokoni anakuwa vzuri Sana ...huyu jamaa anaakili kichizii kama huna jicho la mwewe huwezi kuona
 
Ronaldo ndiyo sababu pekee mpaka leo kwenye ligi hampo nafasi ya 11 na bado mpo UCL ni kichekesho mtu kudai Ronaldo ni mzigo, mzigo as in what? Kukaba? He singlehandedly made sure Ole stays a little longer. Timu haina kocha hii kama ameamua kuwaweka ST 2 mbele ambao mmoja hana speed (Cavani) na mwingine hasaidii kupress (Ronaldo) kwanini nyuma yao usiweke wingers wenye speed (Sancho/ Rashford) na mid ukamuweka Fred na Bruno?

This way Bruno atakua ochestrator wakati Fred atakua dirty worker mwenye speed. Kumuweka greenwood kwenye wing huku best thing anachofanya ni kuturn na kurudisha mpira nyuma ni komedi.

On paper united ina kikosi strong pound for pound hichi kikosi kipo level moja na city, liva na chelsea. Timu ilibebwa sana na individual brilliance its about time kocha aonyeshe skills zake katika man management na kuweza kuifanya hii timu icheze kwa umoja.
Hao wasenge achana nao, wamebaki kulaumu tu, ukiwaambia watoe alternative watakuambia aondoke, haya aondoke alafu acheze nani pale? Wataanza kuongea utopwinyo.
 
Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu

Nyumbu nyumbu
Duuuhhh huu mda umeutoa wapi mkuu
 
Pamoja na yote kama Ralf anasema alimtoa Tuchel bar na kumfundisha coaching mi nakubali kwamba kweli Tuchel katolewa bar na kafundishwa na Ralf.

Kumpa timu Ralf ni kama kumpa timu Kashasha au wakina Neville kisa umevutiwa na ideas zao za namna gani timu itapata ushindi. Mashabiki wa united wana perepeche nyingi sana, kutokana na hilo walivyojua tu kocha ni Ralf hata hawakutaka kuangalia rekodi zake wakaja tu na stori za yeye kuwainfluence Tuchel na Klopp.

Turns out Ralf ni Bielsa wa kijerumani, stubborn, good at analysing football and formations but poor to average execution of ideas.

Standards zimeshuka siku hizi. Wanaifunga Burnley wanatembea nyuzi za watu kusumbua kudai Ralf ni kocha hakuna mwingine next game unakufa against Wolves unasema kocha ni lofa and what not.

Mimi napenda kwamba walianza kumfananisha Ole na Arteta sasa hivi wamehamia kwa Ralf na Arteta. Ngoja tuone.
Duuuhhh kufungwa mechi moja tu ndiyo umeandika lisala yote hii?
 
Usajili wa Ronaldo kwa namna flani ndio pia ulimuharibia Ole. Usajili wake ulikuwa ni wa kibiashara zaidi. Hakuwa kwenye mipango ya Ole kabisa
Wacha upumbavu, shida ya man u ni midfield, yn kocha hapaswi kumpanga mctomy na mzee Matic pamoja cz mctomy ni mzembe alafu Matic mzee wa back passes.
 
Kuna watu wana bahati sana dunia hii, imagine mtu kama Martial anakula BRITISH POUNDS 250k per week kwa kutokufanya kazi yoyote ile zaidi ya kufanya mazoezi kujenga mwili. Rashford anakula BRITISH F*CKING POUNDS 200k per week kuingia tu uwanjani na kukimbia kwa dk 90 tu kwa wiki. Maguire anachukua zake PAUNDI ZA MALKIA LAKI MOJA NA TISINI kwa wiki na heshima ya unahodha juu ili tu kuingia uwanjani kuzuia watu wasimpite ambao mwisho wa siku wanampita.

Do this players know how f*cking lucky they are? Imagine receiving 200k BRITISH F*CKING POUNDS per week provided with elite coaches to train you at a club like MANCHESTER UNITED just to give your best in return on the pitch for just 90 f*cking minutes a week.
InShot_20220105_040118753.jpg
 
Ukiangalia mishahara wanayopokea Salah, Mane, Kante, Mahrez, Foden au Mount na wanachopokea wachezaji wetu na wanacho-offer uwanjani ni huzuni sana na sasa hivi kuna tetesi nusu ya wachezaji eti hawana furaha yani unabaki unajiuliza hivi ni ms*nge gani anapewa pesa zote hizo hakuna anachofanya halafu anasema hana furaha kmkee hivi wanajua wanaweka mifukoni mwao pesa za mashabiki wangapi!

Wolves wanapambana kweli uwanjani ila mishahara wanayopokea ni midogo tu wengi watasema kwasababu wakina Sancho ni mastaa sijui kucheza United inabidi uchukue pesa ndefu ila ni upuuzi.

Halafu kuna ms*nge mmoja kama Pogba tu anataka achukue £500k per week, output yake ni ku-spend hela kwenye kubadilisha tu style za nywele kila wiki, mechi moja assist 4 anakaa mechi kumi assist 1 anaenda salon kwanza akirudi assist 1 msimu umeisha. Bloody fool!!!
Screenshot_20220105-043143_Samsung%20Internet.jpg
 
Kuna watu wana bahati sana dunia hii, imagine mtu kama Martial anakula BRITISH POUNDS 250k per week kwa kutokufanya kazi yoyote ile zaidi ya kufanya mazoezi kujenga mwili. Rashford anakula BRITISH F*CKING POUNDS 200k per week kuingia tu uwanjani na kukimbia kwa dk 90 tu kwa wiki. Maguire anachukua zake PAUNDI ZA MALKIA LAKI MOJA NA TISINI kwa wiki na heshima ya unahodha juu ili tu kuingia uwanjani kuzuia watu wasimpite ambao mwisho wa siku wanampita.

Do this players know how f*cking lucky they are? Imagine receiving 200k BRITISH F*CKING POUNDS per week provided with elite coaches to train you at a club like MANCHESTER UNITED just to give your best in return on the pitch for just 90 f*cking minutes a week.View attachment 2068874
Wafukuze sss au walipe shilingi 5
 
Cristiano Ronaldo left Juventus last summer for Manchester United with a tally of;

✓ 101 goals
✓ 22 assists
✓ 134 games
✓ A league MVP award,
✓ The Serie A Golden Boot
✓ Five trophies from three years in Turin.

Kwa hizo numbers mkiona team yenu inashindwa kumtumia kwa faida huyu mchezaji basi mjue nyie ni kundi la wahuni tu.

Mpeni Arteta anayeweza ku sqeeze juice tamu kutoka kwenye bitter & dried lemons muoni kama CR hajamaliza na goli 60 kwa msimu na Arsenal ibebe ndoo.

Hivi hamjiulizi kwamba kila mchezaji kwenu ana flop, mnaona ni sawa tu? Huyu Pogba sasa hivi huwezi amini ndo yule mlimtoa Juve.

Fernandez wa watu aliyekua mtamu kama AM mmemuua taratibu.

Maguire huyu wa kwenu na wa Leicester vitu viwili tofauti.

Hivi Bisaka mnamkumbuka vizuri nyie? Lakini ona saivi kitu mmemfanya.

In comparison ona team kama Liver. Same VVD, same Mane, same Jota tena naweza sema hao wachezaji wamekua improved hata kuliko before.

Sijamsemea Salah hapo. Nimetoa mifano ya wachezaji wa hapo hapo EPL mliokua mnawaona kila siku.

Badala mkae chini mjiulize kwanini kila anayekuja kwenu ana flop jamaa ndo mnaanza ngonjera zenu za kusema CR anawafelisha.

Lini mmewahi kufaulu tangu Fergie aondoke? Kwenu amekuja hadi Di Maria mmemuua.

Martial alikua anaaminika atakuja kuwa world talent, mmeua.

Hivi ndo vitu vya msingi kujadili. Acheni kuongea kama kundi la walevi
Fernandes hata huko Ureno recently anapumilia machine..
 
Hii team sio ya kushabikia sasa hivi.
Ole alikua manager mzuri na tactics nzuri tatizo ni muundo wa club nzima.
Usajili wa wachezaji unaangalia mauzo ya jezi na ticket. Ndomana majina ya wachezaji wanaokua scouted hua yanavujishwa hata miezi 6 kabla ya deals kukamilika.
Pressure inakua kubwa kwa wachezaji kuperform, akicheza game moja vibaya ndo basi tena.
Ndomana Ole alikua analinda wachezaji, they were set to fail in an environment which was supposed to make them thrive.
Having said this, nimeacha kufuatilia united baada ya Ole kuachishwa kazi.
Hakuna ambalo bodi ya united na management nzima inaweza kufanya sasa hivi kuwa washindani wa Man City.
Kuendelea kushabikia united sasa hivi ni kujitafutia uwendawazimu.
Ole was a good manager, kama unabisha kumbuka ilivokua raha kwenda kuangalia game misimu miwili iliopita, je raha hiyo ulikua nayo kipindi cha Jose au unayo leo?
Niendelee kufanya mishe zangu, labda ntaanza kuifatilia tena united baada ya miaka mitano au 10.
Wasalaaam.
Van Persie kasema Mourinho anastahili heshima ndani ya Utd, pamoja na wachezaji wabovu aliokuwa nao, bado aliweza kubeba vikombe ndani na nje ya Uingereza, na ndio makombe ya mwisho kwa Man utd kwa sasa.
Alipobeba Euro na akina Valencia, Phil Jones, Ashley Young, etc. walisema ni kombe dogo, usajili ukafanyika mkubwa, vipi kipi kilichopatikana?
 
🚨 As many as 11 players now want to leave Man United after becoming disillusioned with life at the club.

Many of the players are underwhelmed by Rangnick’s coaching, not impressed by his tactics and disappointed by the quality of his assistants.

(Source: @MirrorFootball) https://t.co/W0KcrvMu45
 
Cristiano Ronaldo left Juventus last summer for Manchester United with a tally of;

✓ 101 goals
✓ 22 assists
✓ 134 games
✓ A league MVP award,
✓ The Serie A Golden Boot
✓ Five trophies from three years in Turin.

Kwa hizo numbers mkiona team yenu inashindwa kumtumia kwa faida huyu mchezaji basi mjue nyie ni kundi la wahuni tu.

Mpeni Arteta anayeweza ku sqeeze juice tamu kutoka kwenye bitter & dried lemons muoni kama CR hajamaliza na goli 60 kwa msimu na Arsenal ibebe ndoo.

Hivi hamjiulizi kwamba kila mchezaji kwenu ana flop, mnaona ni sawa tu? Huyu Pogba sasa hivi huwezi amini ndo yule mlimtoa Juve.

Fernandez wa watu aliyekua mtamu kama AM mmemuua taratibu.

Maguire huyu wa kwenu na wa Leicester vitu viwili tofauti.

Hivi Bisaka mnamkumbuka vizuri nyie? Lakini ona saivi kitu mmemfanya.

In comparison ona team kama Liver. Same VVD, same Mane, same Jota tena naweza sema hao wachezaji wamekua improved hata kuliko before.

Sijamsemea Salah hapo. Nimetoa mifano ya wachezaji wa hapo hapo EPL mliokua mnawaona kila siku.

Badala mkae chini mjiulize kwanini kila anayekuja kwenu ana flop jamaa ndo mnaanza ngonjera zenu za kusema CR anawafelisha.

Lini mmewahi kufaulu tangu Fergie aondoke? Kwenu amekuja hadi Di Maria mmemuua.

Martial alikua anaaminika atakuja kuwa world talent, mmeua.

Hivi ndo vitu vya msingi kujadili. Acheni kuongea kama kundi la walevi
Mlaumu sosha alieshusha viwango vya hao wachezaji na si huyu ambae hana hata mechi tano za ligi
 
Back
Top Bottom