Nikasema hamna timu ya kuifunga wolves,,salama yenu ilikuwa mlinde goli hadi mdraw...
Wolves wakishatikisa nyavu,kugusa nyavu zao sahau kabisa.
Jamaa wana ukuta pale nyuma.
kama kawaida, kosi la dunia dimbani na legend wetu mwenye ligi kuu yake begani phil jones mzee wa backhead deffence the balon dor contender, na formation ni 4, 2, 2 ,2. kitaumana
Kosi la dunia limekua ni mkosi wa dunia.
Nyumbu ni nyumbu tu.
Hamna timu hapo yaani bora hata majimaji ya Songea wanacheza mpira unaoeleweka.
Yaani mbwa hawa leo bora hata wangepigwa zile goli 5 za Liverpool
from my observation, the number of players that are supposed to be offloaded is big, vyombo vya habari uingereza vinatuponza, eti the squad of many talented players kweli? I declare this team to have a lot of trash, tusipokuwa makini tutafukuza makocha wengi bila mafanikio