Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mlete
PSX_20211223_000412.jpg
 
hivi hakuna uwezekano wa kutoihusisha man u na wachezaji kibao kila dirisha la usajili? maana inakera sana
 
  1. jesse lingard
  2. edinson cavani
  3. phil jones
  4. juan mata
  5. nemanja matic
  6. anthony martial
  7. dean henderson
  8. paul pogba
ralf rangnick aliwahi kusema "ni kheri usisajili mchezaji kuliko kusajili mchezaji ambaye haendani na mahitaji yako",
hivyo ni matumaini yangu madirisha ya usajili yanayofuata tutakuwa wakatili kwa kufanya uamuzi wa kuwaweka sokoni. Endapo klabu itafikiria uamuzi wa kuwaondoa wachezaji tajwa hapo juu itakuwa imeokoa takribani paundi millioni 1 zinazotolewa kila wiki kulipia mishahara ya wachezaji tajwa hapo juu.

cha kushangaza na kustaajabisha kati yao hakuna hata mmoja anayecheza kikosi cha kwanza.
Man United wanatakiwa wamsajili Robin Gossen ili tuondoe huu ujinga wa Wan Bissaka na ugoigoi wa Diogo Dalot.

Patrick Schik katika Bundesliga msimu huu amefunga magoli 16 mpaka sasa magoli matatu mbele ya Haland na matatu nyuma ya Lewandoski.

Jude Bellingham ndiyo jibu sahihi la pengo la Pogba.
 
Wale wahuni wanaompigia kampeni brendan rodgers kuwa kocha wa manchester united bado wamebaki na msimamo huo?
Kumpa kazi huyu au Mauricio Pochettino MU ni sawa na kumpa kazi devera wa bajaji kuendesha bus la abiria wa mikoani.

Erik Ten Hag/Ruben Amorim/Luis Enrique yeyote kati ya hawa tutakuwa tumelamba dume. Huyu Amorim ni chalii anayewapeleka Porto na Benfica mbio mbio huko Ureno. Msimu uliopita alibeba vikombe vyote na Sporting Ureno.
 
bwana phelan inavyosemekana hashughuliki na chochote kwenye viwanja vya mazoezi, amekuwa mfano wa waziri asiyekuwa na wizara maalumu
Inasemekana moja ya masharti ya Ralf ilikuwa lazima aje afanye kazi na timu yake. Michael Carrick alijiwahi mapema. Kieran Mckenna kazi ya Ipswich imekuja muda sahihi kwake.
 
Kinachonishangaza, kwa mfano huyu sharp, tunapewa taarifa za kujiunga kwake lakini hatuelezwi nani anaondoka, which means waliokuwapo hawakuhitaji services za hao professionals.
Inasemekana moja ya masharti ya Ralf ilikuwa lazima aje afanye kazi na timu yake. Michael Carrick alijiwahi mapema. Kieran Mckenna kazi ya Ipswich imekuja muda sahihi kwake.
Tafsiri nyepesi hapa inaonekana Ralf alipofanya uchambuzi kabla ya kukubali kazi aliamini kama tulivyokuwa tunaamini mashabiki wengi. Hii ilikuwa comment yangu mwaka jana (2020) sept, 25.
Nina mashaka sana na uwezo wa kiakili wa benchi letu la ufundi hapa Ed (japo nae ni wale wale same WhatsApp group) anapaswa hata aongeze nguvu tutafute hata kocha msaidizi mpya Mike Phelan hafai hata kipindi cha Fergie baada ya kuondoka Carlos Queiroz tulianza kupwaya hana mipango, first team coaches we all know wote ni average tu Michael Carrick & Kieran McKenna.
 
Back
Top Bottom