Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nilikwishawaambia....Moyes hafai......wadau wakasema......apatiwe muda.......wachezaji ni wale wale wa SAF......hiyo staili yake mpya aliyoivumbua kule Everton ilishaonyesha kufeli.....kwani juzi tu Everton na chini ya Martinez wamemchapa bakora ManU......Moyes aache misimamo ya kijinga.........

Ni afadhali wangemchukua Babu Manager Harry Redknap mara kumi kuliko Moyes.....
 
Itabidi Chifu wangu INZI #AzoeeTu

Ikishindikana ameze PIRITON aeupekane na adha ya JINAMIZI la mabao yanavyoingia golini/yanavyotinga nyavuni....Jinamizi la Yohan Cabaye na wenzie waliogeuza Old Trashfford kuwa #JamviLaWageni ...

Mkuu siyo kwamba ni Ngumu kwa Makocha wengine Kushinda OT, bali hata kwa Moyes ni ukweli kuwa naye ni ngumu kushinda OT.
 
Man U mna option mbili za kuchagua....
Point 15 kumfikia Arsenal....ama
Point 15 kumfuata Sunderland mkiani...
Choice is yours,forever united...Tuendelee kushangilia ushindi wetu...


"Nlikuwepo":bolt:
 
Nilikwishawaambia....Moyes hafai......wadau wakasema......apatiwe muda.......wachezaji ni wale wale wa SAF......hiyo staili yake mpya aliyoivumbua kule Everton ilishaonyesha kufeli.....kwani juzi tu Everton na chini ya Martinez wamemchapa bakora ManU......Moyes aache misimamo ya kijinga.........

Ni afadhali wangemchukua Babu Manager Harry Redknap mara kumi kuliko Moyes.....
Go get Di Canio ASAP before he can replace Maourinho at Stanford bridge🙂
 
Oops! Man United.

Hivi hakuna mtu anayeweza kuingia kwenye ofisi na Meneja David Moyes na kumkumbusha kuwa hiyo ni ofisi ya Meneja wa Man United na siyo ya Meneja wa Everton fc.

Kwa sasa kila mechi tunasikia Manchester United manager na swaga za "Manchester United can bounce back".

Hii 'bounce back' sijui itakuwa lini wakati kila mechi wanapata 'haki yao' kulingana na matendo yao uwanjani.
 
Nzi
tetesi eti RVP anataka kuwasilisha transfer request sijui habari hii ni ya kweli lakini zipo tetesi kutoka MANU
 
Laugh out loud #haters


1462970_547933015285121_927102086_n.jpg

 
Hali ngumu na twete OT (Old Toilet) haha haa haaaa.........................
 
Nzi
tetesi eti RVP anataka kuwasilisha transfer request sijui habari hii ni ya kweli lakini zipo tetesi kutoka MANU
Hembu funguka zaidi...manake Arsenal hawamtaki tena huyu guy-inaonesha ni kimeo sana hasa linapokuja suala la trophy
 
Nzi
tetesi eti RVP anataka kuwasilisha transfer request sijui habari hii ni ya kweli lakini zipo tetesi kutoka MANU

"That is absolute nonsense," said the United boss. "I don't know what harder or tougher word I could say but that's as good as I've got."
 
Naona #WakeZetu bado wanaendeleza kutuonea huruma......

Mimi nawapa challenge hawa #WakeZetu wajitokeze na waseme hapa #ManUnited itashuka daraja ama haitomaliza ndani ya top 4. Na waseme isipokuwa hivyo watafanya nini!

Mimi niliwachallenge kwenye kijiwe chao kwamba, goons wakishinda UCL, naacha kuwa mnazi wa #ManUnited

Njooni hapa, kama mnajiamini.

Cc: Mbu Balantanda Wandugu Masanja Jaguar na wengineo
 
Last edited by a moderator:
Naona #WakeZetu bado wanaendeleza kutuonea huruma......

Mimi nawapa challenge hawa #WakeZetu wajitokeze na waseme hapa #ManUnited itashuka daraja ama haitomaliza ndani ya top 4. Na waseme isipokuwa hivyo watafanya nini!

Mimi niliwachallenge kwenye kijiwe chao kwamba, goons wakishinda UCL, naacha kuwa mnazi wa #ManUnited

Njooni hapa, kama mnajiamini.

Cc: Mbu Balantanda Wandugu Masanja Jaguar na wengineo

.......kha?!!!
Nawewe....#DontGiveUpEasily buddy,
You are Man United! Acha kukata tamaa hata Mwaka Mpya bado...

Usituletee Bets za ajabu ajabu hapa,
Mwishowe uwe kama huyo shabiki aliyejiua Nairobi.

ImageUploadedByJamiiForums1386519688.816097.jpg

.....#CryingBabies ....[smh!]
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom