Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mancini kasema haji
PSX_20211208_135037.jpg
 
Rangnick: “The way we played against Crystal Palace was high intensity and it’s not so easy to play on that level with the same group of players every three days. So, for me, it absolutely makes sense to do some rotation; even more so in a game we still want to win.” [MU]
 
Tottenham wameomba kughairishwa kwa mechi yao dhidi ya brighton kutokana na janga la corona, baadhi ya wachezaji wao na staff wameonekanwa kuwa na dalili za corona. Kama ombi lao litakubaliwa basi tottenham watakuwa na viporo viwili.
 
Kumbe huyu kocha wa young boyz naye ni zao la professor rangnick, kupitia interview yake hapo jana alisema yeye ndiye aliyempa nafasi timu ya vijana ya hoffenheim, jinsi alivyokuwa anaizungumzia young boys na mwenendo wao kwenye ligi yao imeonyesha jinsi gani rangnick alivyo na utajiri wa taarifa za soka. Rangnick anatisha na wasiwasi wangu hata hii ligi ya diamond na ali kiba pia anaifahamu kiundani. Teh teh teh
Kwahiyo jamaa kama Magu kila kitu anajua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom