Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Pogba ni mchezaji wa kawaida ila amebahatika kupata jina kubwa tatizo kubwa la Pogba hana consistence leo kacheza vizuri kesho kacheza ushwa yani anaweza mechi tano acheze vizuri the rest ni utumbo .. mchezaji ambaye hana consistence namuita wakaida tu .wanao mtetea wanamkinga team ya taifa wanasema anafanya vizuri ni kweli sikatai lkn tujiulize team yataifa anakuwa akicheza dk ngapi au mechi ngapi utangundua ni mechi tano hazizidi hata 15 ambazo hata united anacheza anaperform msimu umeanza kapiga assist kama 5 mechi za mwanzo the rest ni utumbo abadilike awe world class siyo world class ya maneno mengi na ujanja Mwingi
Mi Naona Bado United Tunamuhitaji Pogba Ukimtoa Bruno Hakuna Midfielder Mwingine Mbunifu Uwanjani Na Kupiga Pasi Za Maana Kama Yeye.
 
Tulifanya Makosa Kumuacha Herrera Kwa Kazi Alokuwa Akifanya Uwanjani, Wasirudie Tena Hilo Kwa Pogba Timu Yetu Bado Kwakweli, Tunahitaji Watu Zaidi Kurudi Zama Zile.
 
Tulifanya Makosa Kumuacha Herrera Kwa Kazi Alokuwa Akifanya Uwanjani, Wasirudie Tena Hilo Kwa Pogba Timu Yetu Bado Kwakweli, Tunahitaji Watu Zaidi Kurudi Zama Zile.
Hatukufanya makosa kumuachia Herrera au mchezaji yoyote yule, ukisema hivyo maana yake mtu kama Ronaldo ilikuwa makosa kumuuza.

Mchezaji akitaka kuondoka aondoke tu, hii kushawishi wachezaji ambao wanaonyesha wazi nia ya kusepa kwa kuwapa mishahara minono ndiyo sababu ya kuwa na wachezaji ambao hawana motisha kuipambania timu.
 
Hatukufanya makosa kumuachia Herrera au mchezaji yoyote yule, ukisema hivyo maana yake mtu kama Ronaldo ilikuwa makosa kumuuza.

Mchezaji akitaka kuondoka aondoke tu, hii kushawishi wachezaji ambao wanaonyesha wazi nia ya kusepa kwa kuwapa mishahara minono ndiyo sababu ya kuwa na wachezaji ambao hawana motisha kuipambania timu.
Kwa Ander Mi Naona Ni Kosa Kwasababu Ndo Kwanza Midfield Yetu Inasusua Mpk Leo Kukaa Sawa, Bora Alivokuwepo Herrera Kulikuwa Na Uhai Kidogo Kwenye Midfield.
 
Mi Naona Bado United Tunamuhitaji Pogba Ukimtoa Bruno Hakuna Midfielder Mwingine Mbunifu Uwanjani Na Kupiga Pasi Za Maana Kama Yeye.
Hili nakuunga mkono lakini tatizo la pogba ni nidhamu kwa ujumla, raiola msumbufu sana.
 
Hatukufanya makosa kumuachia Herrera au mchezaji yoyote yule, ukisema hivyo maana yake mtu kama Ronaldo ilikuwa makosa kumuuza.

Mchezaji akitaka kuondoka aondoke tu, hii kushawishi wachezaji ambao wanaonyesha wazi nia ya kusepa kwa kuwapa mishahara minono ndiyo sababu ya kuwa na wachezaji ambao hawana motisha kuipambania timu.
Chanzo cha herera kuondoka ni kutopewa nafasi mara kwa mara, ukumbuke herera, mikhtarian na wengineo ni miongoni mwa wachezaji ambao waliangusha chozi wakati wanaitoa jezi ya utd
 
Fixture ya united kwa Sasa ni kitonga kabisa .....

Lakin mbaya wenu ni spurs ,Conte anakuja kimya kimya aisee wakati mnawaza kina westham sijui arsenal ....Conte atakuja kufanya yake pale top 4
Conte mpe mechi zake kumi mbele, ule mfumo wake unafanana na ule wa mourinho wanataka wapaki basi na vicounter attack
 
Labda sijaeleweka;Ni kweli tumemiliki sana lakini lengo la kufika golini lilikuwa halitimii ndio maana shots on target ni 3
Safi!! Uko sahihi Sana, uwezo wa kumiliki mpira now tumekuwa nao, but uwezo wa kutengeneza nafasi ya mabao bado Ni mdogo, haina ubishi on targets zinajielez kwenye mechi dhid ya crystal
 
Leo ndio mnajifunza rasmi somo la kuwanga(uchawi)

Nyumbu mna maisha magumu sana
 
Safi!! Uko sahihi Sana, uwezo wa kumiliki mpira now tumekuwa nao, but uwezo wa kutengeneza nafasi ya mabao bado Ni mdogo, haina ubishi on targets zinajielez kwenye mechi dhid ya crystal
Bosi, cocha mwenyewe anasema ameshangazwa na kiwango kilichoeneshwa, sasa ya mambo ya kuquestion utengenezaji wa nafasi yanatoka wapi?
 
Safi!! Uko sahihi Sana, uwezo wa kumiliki mpira now tumekuwa nao, but uwezo wa kutengeneza nafasi ya mabao bado Ni mdogo, haina ubishi on targets zinajielez kwenye mechi dhid ya crystal
True pia Pastor Fred anahitaji kuimprove pasi zake.Greenwood ni mzuri maana hapotezi mpira kirahisi kama Rashidi.
Ni suala la muda tu first team itajulikana under RR.
 
Aisee ukiachana na kuwa na kikosi kizuri muda mwingine unahitaji bahati kushinda makombe.

Just how kila kombe wakifanya draw tunakutana na tough opponents compare na Man. City ambao kila msimu huwa anajikuta na timu kutoka lower divisions.

3rd round FA Cup tunakutana na Aston Villa.
 
Back
Top Bottom