Huyo mshikaji kma hataki kuichezea team yetu aondoke asituaribie team kwa kocha huyu mpya sioni atabembelezwa Ni suala la muda tuPogba akirudi
Acheze namba10 wawe wanabadilishana na Bruno au 8 wabadilishane na Fred
Vinginevo mambo ya kumpeleka Wide au 6 siyakubali
Huko nyuma humu humu nimewahi kusema Pogba katika 100% ni 60%-65% player ...Pogba ni mchezaji wa kawaida ila amebahatika kupata jina kubwa tatizo kubwa la Pogba hana consistence leo kacheza vizuri kesho kacheza ushwa yani anaweza mechi tano acheze vizuri the rest ni utumbo .. mchezaji ambaye hana consistence namuita wakaida tu .wanao mtetea wanamkinga team ya taifa wanasema anafanya vizuri ni kweli sikatai lkn tujiulize team yataifa anakuwa akicheza dk ngapi au mechi ngapi utangundua ni mechi tano hazizidi hata 15 ambazo hata united anacheza anaperform msimu umeanza kapiga assist kama 5 mechi za mwanzo the rest ni utumbo abadilike awe world class siyo world class ya maneno mengi na ujanja Mwingi
Ronaldo hata press kama akina Rashford na atavumiliwa kwa kuwa anatupa magoliPogba akirudi
Acheze namba10 wawe wanabadilishana na Bruno au 8 wabadilishane na Fred
Vinginevo mambo ya kumpeleka Wide au 6 siyakubali
Ligi bado mbichi sana, so far timu zimecheza ¹/³ ya mechi zoteMbio za top 4 antonio conte ndiye aliyetukalia vibaya zaidi.
Fred the red..
Pogba aondoke..Pogba ni mchezaji wa kawaida ila amebahatika kupata jina kubwa tatizo kubwa la Pogba hana consistence leo kacheza vizuri kesho kacheza ushwa yani anaweza mechi tano acheze vizuri the rest ni utumbo .. mchezaji ambaye hana consistence namuita wakaida tu .wanao mtetea wanamkinga team ya taifa wanasema anafanya vizuri ni kweli sikatai lkn tujiulize team yataifa anakuwa akicheza dk ngapi au mechi ngapi utangundua ni mechi tano hazizidi hata 15 ambazo hata united anacheza anaperform msimu umeanza kapiga assist kama 5 mechi za mwanzo the rest ni utumbo abadilike awe world class siyo world class ya maneno mengi na ujanja Mwingi
Derby wapo vizuri chini Rooney ni kwamba tu hawana wachezaji wazuri sana kwenye safu ya ushambuliaji ila defensively wana-hold vizuri tu top clubs kwenye Championship. Wanaruhusu goli chache pia wanafunga goli chache kitu kinachofanya wakishinda wanashinda kwa tofauti ya goli moja na wakifungwa pia ni kwa tofauti ya goli moja pia ndiyo sababu wanapata droo nyingi.Kumbe Ralf anasema alimwambia Carrick abaki ili awe msaidizi wake, Carrick akagoma.
Bora Derby Country wampe timu hata Carrick kuliko huyu Rooney
Fixtures zenyewe zinacheka HAAHAHHAHA.Hizi mechi zote tutashinda, Ole katuharibia sn timu mpuuzi yule.View attachment 2034302
Sent using Jamii Forums mobile app
Itakuwa poa sana hata kama tukishinda 7 na draw 3 kabla hatujarudi kwenye ratiba ngumuHizi mechi zote tutashinda, Ole katuharibia sn timu mpuuzi yule.View attachment 2034302
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakubaliana na wewePogba aondoke..
Sio kweli mkuuTatizo letu Man U huwa tunajifariji sana baada ya kushinda,lakini ukweli ni kwamba Timu yetu bado sana,tuna-furukufuruku tu,Man U ninayoifahamu mimi sio hii!!!lile tuta ukiliangalia vizuri hata halikuwa tuta sahihi basi tu,yaani tunagongwa goli 4 na Watford juzi leo tunajifariji tuna timu nzuri kweli baada ya kuifunga Arsenal kwa mbinde!!!let us be serious