Manchester United’s next ten games after hiring Ralf Rangnick as interim coach

manutd |
#GGMU
IMG_20211129_221407_310.jpg
 
Official: Michael Carrick will remain in charge of the #MUFC first team until Ralf Rangnick’s work visa is finalised.

manutd |
#GGMU
 
Rangnick: "The squad is full of talent and has a great balance of youth and experience. All my efforts for the next six months will be on helping these players fulfil their potential, both individually and, most importantly, as a team."
"Beyond that, I look forward to supporting the club’s longer-term goals on a consultancy basis.”


manutd |
#GGMU
IMG_20211129_221256_066.jpg
 
Hii "consultancy" maana yake ni nini?
Kwa kifupi majukumu yake yatakuwa sawa sawa na mkurugenzi wa ufundi. Nafikiri akina Ed pamoja na bodi hawakutaka kuleta taharuki kusema jamaa anaenda kuchukua nafasi ya mtu (John Murtough) moja kwa moja.

Makubaliano ya mkataba wa mara ya pili waliokubaliana hicho kipengele cha "consultancy role with power"
-Atakuwa sehemu ya bodi kama mshauri.
-Atahusika ktk mchakato wa kupata kocha wa kudumu pamoja na bodi majira ya kiangazi.
-Atahusika na mikataba ya wachezaji ikiwa pamoja na usajili wao.
-Atahusika na dira ya timu kwa 100%.
 
Kwa kifupi majukumu yake yatakuwa sawa sawa na mkurugenzi wa ufundi. Nafikiri akina Ed pamoja na bodi hawakutaka kuleta taharuki kusema jamaa anaenda kuchukua nafasi ya mtu (John Murtough) moja kwa moja.

Makubaliano ya mkataba wa mara ya pili waliokubaliana hicho kipengele cha "consultancy role with power"
-Atakuwa sehemu ya bodi kama mshauri.
-Atahusika ktk mchakato wa kupata kocha wa kudumu pamoja na bodi majira ya kiangazi.
-Atahusika na mikataba ya wachezaji ikiwa pamoja na usajili wao.
-Atahusika na dira ya timu kwa 100%.
Nashukuru hapo nimepata mwanga
 
Kwa kifupi majukumu yake yatakuwa sawa sawa na mkurugenzi wa ufundi. Nafikiri akina Ed pamoja na bodi hawakutaka kuleta taharuki kusema jamaa anaenda kuchukua nafasi ya mtu (John Murtough) moja kwa moja.

Makubaliano ya mkataba wa mara ya pili waliokubaliana hicho kipengele cha "consultancy role with power"
-Atakuwa sehemu ya bodi kama mshauri.
-Atahusika ktk mchakato wa kupata kocha wa kudumu pamoja na bodi majira ya kiangazi.
-Atahusika na mikataba ya wachezaji ikiwa pamoja na usajili wao.
-Atahusika na dira ya timu kwa 100%.
Kwa lugha nyepesi ni kwamba manchester united wameamua kuanza upya hii project yao chini ya usimamizi na ushauri wa Don Rangnick.
 
ameandika Chris Wheeler:
  1. Rangnick set to miss Arsenal game due to work permit red tape and new Covid rules
  2. staff told he's unlikely to take over until end of the week
  3. Utd scrambling to have him in place for Palace
  4. Carrick will stay in charge for now
=================
wajuzi wa mambo nielewesheni
  • kwa nini antonio conte amepata kibali mapema (tuseme yeye alishawahi kufanya kazi Uingereza0
  • thomas tuchel naye alipata kibali ndani ya muda mfupi(hakuwahi kufanya kazi uingereza)
  • kwa nini beki wa spurs anayeitwa romero alipata kibali mapema lakini varane alichelewa haliyakuwa wote hawakuwahi kufanya kazi Uingereza.
 
Ralf Rangnick faces a FA appointed independent panel in order to gain his Home Office work permit as his recent career out of coaching means he does not meet the criteria automatically.

Under the FA’s rules, the independent panel will only award the GBE required for a work permit to candidates of the “highest calibre” who are “able to contribute significantly to the development of the game at the top level in England.”

@SamWallaceTel
 
Kama video fupi ya mahojiano kati ya Rangnick na waandishi wa habari inayosambaa mitandao ni kweli,jamaa ameweka wazi nini anataka kutoka kwa wachezaji na wachezaji wa ubora upi anaowataka kutoka kwenye mamlaka ya juu ya timu ili kutekeleza falsafa zake. Ukizingatia mifumo ya nyuma tangu kipindi cha Mourinho,United ilifanya sajili kwa kuzingatia zaidi sababu za kibiashara na mambo ya kiufundi yalifuata. Je,kwa kumpatia Ralf nguvu ya kufanya maamuzi hasa upande wa usajili wa wachezaji, united watakubali kuwekeza uwanjani zaidi na kupunguza manufaa wanayoyapata kutokana na mvuto wa mchezaji husika kibiashara?
Nini maoni yako mkuu?
hii hoja ya kusajili wachezaji kwa kuangalia zaidi upande wa kibiashara kuliko uwanjani wengi wetu hatuna uthibitisho wa dai hilo(tumekuwa tukizungumza tu ili kusongesha siku), kwa mtazamo wangu changamoto kubwa zinazotukabili mara kwa mara lifikapo dirisha la usajili ni:-

  • kusajili mchezaji ambaye si hitaji kuu la mwalimu, tumeona wakati wa utawala wa mourinho alihitaji kwanza mlinzi wa kati lakini akaletewa kiungo (Fred) ambaye hawezi kutimiza majukumu yake ipasavyo bila ya kuwa na safu bora ya ulinzi.
  • kushindwa kusajili target lengwa za makocha, kwa mfano hili litokezea wakati wa utawala wa van gaal na hata david moyes (kocha anataka mchezaji A lakini analetewa mchezaji wa kundi C)
  • kurukia rukia wachezaji bila ya kuangalia direction yetu ya kiuchezaji, mfano rejea usajili wa juan mata na aina yake ya uchezaji jinsi isivyoendana na style ya kocha aliemsajili
  • kudelay kufanya maamuzi (ukisikia stori za nyuma ya pazia jinsi tulivyowakosa baadhi ya wachezaji utashangaa)
  • baadhi ya wachezaji tunauziwa ghali kwa sababu ya kukosa mipango bora ya kushawishi target nyenginezo.
mpaka bodi imefikia hatua ya kukubaliana na matakwa yake bila ya shaka hatutashuhudia upishanaji wa kauli kwenye suala zima la usimamiaji wa klabu ndani ya uwanja, kama kutatokezea sintofahamu kati yao namuona Rangnick akiondoka klabuni (jamaa ni mtu wa misimamo na kwa hilo waulize chelsea wali[omtaka msimu uliopita aliwajibu nini)

Ralf rangnick hajawahi kufanya kazi katika timu yenye budget kubwa mfano wa manchester united, kwa mukhtadha huo haitokuwa rahisi kuweza kumuhukumu. Imani yangu atayafanikisha zaidi ya yale aliyoyafanya akiwa kwenye timu zenye bajeti ndogo kwa kusajili na kushauri aina ya wachezaji wanaoendana na hicho anachotaka kukijenga.

kwa mfano leo nimeona tetesi za kiungo anayeitwa amadou haidara kutoka leipzig, release clause yake ni paundi millioni 33 hivyo klabu imeamua kumfuatilia mwishoni mwa wiki hii.
sidhani kama aliwahi kusajili mchezaji mwenye gharama kubwa mfano wa hiyo, kama atafiti philosophy yake sidhani kama ni tatizo kwetu na kwake.

kwa ufupi rangnick amepewa nafasi adhimu ya kuuonyesha ulimwengu wa wapenda soka yeye ni mwanadamu wa aina gani, Je ni mtu special kama anavyosifiwa na wanafunzi wake na nchi nzima ya ujerumani au ni mbabaishaji anayejificha nyuma ya mafanikio ya wanafunzi wake?
 
Rodgers would cost £20m if #mufc or any of Premier League’s “big six” wanted to appoint him. Pochettino and Ten Hag are under consideration but Mancini is also likely to be considered. Rangnick is expected to be involved in the search of a permanent manager. [
@TelegraphDucker]
 
Sijamaanisha hivyo mkuu. Naongelea kwanini huwa mnapata tabu sana mitaani na mitandaonu team yenu ikifanya vibaya. Nikwasababu mna kelele sana.
nafikiri tunahukumiwa kwa sababu ya mafanikio tuliokwisha yapata huko nyuma, kibaya zaidi pia kuna kasumba imekuwa ikiendelezwa kutoka kizazi kimoja hadi chengine inayohusu kubebwa kwa manchester united ndani ya uwanja ndio sababu ya kudominate soka la Uingereza kwa takribani miaka 20 chini ya fergie jambo ambalo halina ukweli.

kuendelea kwetu kufanya vibaya nje ya uwepo wake kumezidisha chukizo kwetu kutoka kwa wapinzani wetu walioamua kuungana dhidi yetu na hatimaye kuifanya hoja yao ionekanwe kuwa ni valid.

sikubaliani na hoja ya kwamba sisi mashabiki wa manchester united tuna kelele.
Mashabiki waliozoea kushinda wanakuwaje na mentality ya kudhihaki wasioshinda au walioanza kuonja ladha ya ushindi mfano wa liverpool?
labda arsenal wana tabia hiyo ya majivuno pindi wanapopata ushindi cause wana muda mrefu hawajawa kwenye ubora wao ukilinganisha na sisi
 
Back
Top Bottom