NtYga fuentte baada ya kumsikiliza fabrizio romano niseme tu bodi ya
West Ham inahitaji vichwa vyao vikaguliwe kwa uthamini huo wa pauni milioni 85 kwa mateus fernandes baada ya kushushwa daraja.
Kwa sababu westham walimnunua kwa kwa pound 38m, adds on 4 for total package ya 42m. kutoka Southampton iliyoshuka daraja mwaka 2024, Inakuaje watake pound 85m. Hapa nitashanga kama tukitoa hiyo hela, Thamani ya mateus fernandes ni 55m adds on 5 jumla 60m isizidi 65m just take it or leave it.
Bila hivyo tukienda kwa Newcastle tumchukue Lewis hall tutapigwa pound 90m na tukija kwa tonali tutambiwa 100m au juu maana city na arsenal pia wanamtaka. Nipo tayari kukosolewa ila ni bola tukatae kupigwa ijapokua tusipojipanga vizuri msimu ujao tutadhalilika tukiwa na Carrick.