Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hivi kwa sasa Dorgu tuna muweka nafasi gani na tunamthaminisha vipi ubora wake? Nataka nijue kama ilikuwa transfer ya kuimarisha kikosi kipindi kile cha mpito au anakuwa sehemu ya mipango ya muda mrefu ya timu? Je, anafit kama starter?
Dorgu ni mchezaje aliyechukuliwa kwa mpango wa muda mrefu, na inavyosemekana Carrick alipofika alimchagua moja kwa moja Dorgu awe stater Winga ya kushoto dhidi ya Mateus Japo Mateus alikunja na ndipo wakaambiwa wapambanie namba na ndio maana unapaona upande wao Pa moto sana.
 
Mie hua najua dorgu ni left wing back, pia naona ni sehemu, ya mipango ya mda mrefu ya timu. Kwakua msimu ujao tupo hadi UEFA, na rotation ni muhimu sababu ya mechi nyingi.

Hapa nikuomba injury zisiwe nyingi kwa wachezaji, ngoja tuone Carrick atakavyopanga kikosi. Lakini kikubwa ni beki wa kushoto. Ebu fikiria tupangwe na Barcelona au bayern afu Luke shaw amakabe yamal na olisse, hapa kutakua na red card ya mapema sana.
Tukiachana na Luke kuna huyu Dalot nae hibi kweli anakutana na Krava au Vini si tumekwenda na maji, hawa watu wawili Impact yao ni ndogo sana ukilinganisha na wanachopata pale united walitakiwa kuondoka misimu mi 3 iliyopita 🤕.
 
Ndugu zangu kunazo Habari zinanifurahisha sana toka Pale viunga vya OT japo sijazipata kwenye source's za kuaminika. sana kuwa "Baadhi ya wana Familia wa Glazer wameomba kuuza shea zao za umiliki wa timu huku wakiwashawishi na wenzao ambao hawajapata shahuku ya kuuza Shea zao waziuze".

Vp kuna mtu yeyote pia kaona hii habari?..?
 
Tukiachana na Luke kuna huyu Dalot nae hibi kweli anakutana na Krava au Vini si tumekwenda na maji, hawa watu wawili Impact yao ni ndogo sana ukilinganisha na wanachopata pale united walitakiwa kuondoka misimu mi 3 iliyopita 🤕.
Mkuu unachosema ni ukweli kabisa tumalizane na middlefilders kwanza, tupate beki moja ya kushoto na beki ya kulia. Hapa tunaitaji wachezaji angalau wasiopungua 5.
 
Ndugu zangu kunazo Habari zinanifurahisha sana toka Pale viunga vya OT japo sijazipata kwenye source's za kuaminika. sana kuwa "Baadhi ya wana Familia wa Glazer wameomba kuuza shea zao za umiliki wa timu huku wakiwashawishi na wenzao ambao hawajapata shahuku ya kuuza Shea zao waziuze".

Vp kuna mtu yeyote pia kaona hii habari?..?
Nimeisikia pia ila ngoja tuone time will tell.
 
Mkuu unachosema ni ukweli kabisa tumalizane na middlefilders kwanza, tupate beki moja ya kushoto na beki ya kulia. Hapa tunaitaji wachezaji angalau wasiopungua 5.
Wewe full backs gani miaka yote unashindwa kujifunza Cross muda wote ni kubabatiza miguuni pa watu kama sio miguuni ni kupereka mpira sehemu kusiko na wahusika inanikera sana hii.
 
Wewe full backs gani miaka yote unashindwa kujifunza Cross muda wote ni kubabatiza miguuni pa watu kama sio miguuni ni kupereka mpira sehemu kusiko na wahusika inanikera sana hii.
Yaan tuna vituko wengi sana mkuu, kama garter,zirkee sijui mpaka sasa
 
Ndugu zangu kunazo Habari zinanifurahisha sana toka Pale viunga vya OT japo sijazipata kwenye source's za kuaminika. sana kuwa "Baadhi ya wana Familia wa Glazer wameomba kuuza shea zao za umiliki wa timu huku wakiwashawishi na wenzao ambao hawajapata shahuku ya kuuza Shea zao waziuze".

Vp kuna mtu yeyote pia kaona hii habari?..?
Auziwe mwarabu maana waingereza mabahili mno
 
IGHALO anampa Code Bwana mdogo, sema haya ndio nilikuwa nazungumzia kuhusu Man u na wachezaji tokea Africa kama sijasahau Mwaka wamemaliza Napoli kuchukua kombe Osimhen wamoto saaana Tulikuwa na shida ya Finisher tena mwenye akili timamu, Dogo akawa shida na kocha wake Man u hawakuona firsa ya kumcheck waka Deal na Hodjlund wakamuacha aende Galatasaray niliumia sana.
Hivyo basi kama mwaka huu wanahitaji sticker wa kukupa 16+ Goals kwa msimu na hapo Combo yake na El Magnifico haijawa vizuri sana huyu Jamaa atafaa ila ni Juu yao wataamua.
Screenshot_20260604-223246 (1).jpg
 
Yaan tuna vituko wengi sana mkuu, kama garter,zirkee sijui mpaka sasa
Dogo Yoshua Z ubishoo mwingi mpaka kwenye kumaliza mpira anapiga kijishuti kama cha marehemu Sharo Milionea hizi Assist Records za Bruno alikuwa anazimalizia Yeye ile Game ya Nottingham, Jitu kama Ugarte likiingia tu Baasi Goli zinarudi tena.
 
Dogo Yoshua Z ubishoo mwingi mpaka kwenye kumaliza mpira anapiga kijishuti kama cha marehemu Sharo Milionea hizi Assist Records za Bruno alikuwa anazimalizia Yeye ile Game ya Nottingham, Jitu kama Ugarte likiingia tu Baasi Goli zinarudi tena.
Ugarte sijui anatokea Uruguay ya wapi! Na sidhani hata kama tulifanya scouting juu yake, kabla ya kumsajili
 
Back
Top Bottom