Ridomil gold
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 2,787
- 2,233
We muache maaana wanaongea habari za 2011 wakati tu sha move more than 10 yrs nawWacha akutane na wanaume wa shoka pep,klop ,TT ........
Mtamkataaa wenyewe![]()
We muache maaana wanaongea habari za 2011 wakati tu sha move more than 10 yrs nawWacha akutane na wanaume wa shoka pep,klop ,TT ........
Mtamkataaa wenyewe![]()
Kuwa Trainer doesnt mean wewe ni mzuri sana, unaweza kuwa trainer bt kukitoa kile ulichonacho kichwani na kukiweka field kikawa tatizo kwako.Ndio mwalimu wa Klop na Tuchel sasa huyo
By the way Ragnick ana makombe 7 kwenye carrier yake
Na kufundisha timu kama Stuttgart, Hoffenheim, Leipzig sio rahisi kupata makombe huko, hata Pep angeenda kuwa kocha na msaidizi wake awe Klop na Tuchel awe kocha wa viungo wasingepata kombe hata la bata
Kama huamini muulize Klop aliyeishusha daraja Mainz na muulize Tuchel aliyekuwa na kombe 1 (German Cup, ambalo Ragnick kachukua pia) akiwa Dortimund
Makombe mengine Tuchel amechukua akiwa PSG ambapo ilimchukua Pochetino (kocha ambaye alikuwa hajawahi kubeba kombe) siku 6 tu kupata kombe lake la kwanza
Ragnick ni philosopher, trainer of the trainers and a coach of Manchester United.
Inauma but itabidi uzoee
Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app
Ana makombe mangapi tangu amekuwa kocha?Unaifahamu Schalke 04 ya 2011 golini kukiwa na Manuel Neuer iliyotinga nusu fainali ya UCL na kutolewa na Man United? Basi mwamba ndiye alikuwa kocha.
Huyo pimbi anakaza fuvu tu..kila kitu anaelewaKuwa Trainer doesnt mean wewe ni mzuri sana, unaweza kuwa trainer bt kukitoa kile ulichonacho kichwani na kukiweka field kikawa tatizo kwako.
Nadhani ndio mfano wa Ralph, Yes alimfundisha Klop na Tuchel bt baada ya hapo akawa director of football locomotive moscow, Yaani hata hao warusi hawakuwa na imani nae na kuamua kumpa u-director instead of coaching/manager.
Unaweza kuwa mwalimu mzuri sana wa sayansi ila ukawa huijui na hujawahi kuiona hata simu moja damu ya chura.
Tatizo si kumfundisha Klopp na Tuchel, tatizo ni je anaweza kuhamishia field kile anachowaza kichwani kwake?
Kwa hapa kwetu walimu ni matunda ya wale waliochemsha mitihani yao bt hao hao ndio ambao wanazalisha madaktari wetu na maprofesa wetu tulionao.
Kama hujanielewa hapa, kamwe huwezi elewa sehemu nyingine.
GGMU........... Alisikika mlevi mmoja hivi wa chimpumu
Sent from my LM-K500 using JamiiForums mobile app
Kwa bahati mbaya kwa Wapinzani, Ragnick ameshinda makombe 7 katika carrier yake kama kochaKuwa Trainer doesnt mean wewe ni mzuri sana, unaweza kuwa trainer bt kukitoa kile ulichonacho kichwani na kukiweka field kikawa tatizo kwako.
Nadhani ndio mfano wa Ralph, Yes alimfundisha Klop na Tuchel bt baada ya hapo akawa director of football locomotive moscow, Yaani hata hao warusi hawakuwa na imani nae na kuamua kumpa u-director instead of coaching/manager.
Unaweza kuwa mwalimu mzuri sana wa sayansi ila ukawa huijui na hujawahi kuiona hata simu moja damu ya chura.
Tatizo si kumfundisha Klopp na Tuchel, tatizo ni je anaweza kuhamishia field kile anachowaza kichwani kwake?
Kwa hapa kwetu walimu ni matunda ya wale waliochemsha mitihani yao bt hao hao ndio ambao wanazalisha madaktari wetu na maprofesa wetu tulionao.
Kama hujanielewa hapa, kamwe huwezi elewa sehemu nyingine.
GGMU........... Alisikika mlevi mmoja hivi wa chimpumu
Sent from my LM-K500 using JamiiForums mobile app
Kocha hajawahi kuhusishwa hata na Bayern Munich pindi wanaachana na Hans flick wakamkimbilia amateur coach NigelsmannKwa bahati mbaya kwa Wapinzani, Ragnick ameshinda makombe 7 katika carrier yake kama kocha
Kabla ya Ragnick, Hoffenheim ilikuwa ni timu ya kawaida kama ilivyo Leeds na Burnley pale Uingereza. Lakini ndiye kocha aliyeifikisha Hoffenheim hatua ya nusu fainali UCL na ikatolewa na Man Utd ya Ferguson. Tangu hapo Hoffenheim haijawahi tena kufika hatua hiyo
Huyu ndio kocha aliyoitoa Schalke mavumbini mpaka akaiwezesha kushinda DFL Pokal 2005, Schalke sasa hivi ipo Championship ya Ujerumani kwa sasa
Mfano kati ya makombe aliyoshinda ni DFL Pokal 2005 (Schalke), DFL Pokal 2011 (Hoffenheim), DFL Super Cup (Hoffenheim) 2011
Kwa hiyo pamoja ya ku philosophise mpira na kuwa Gegenpress Godfather ambayo ndio imekuwa nguzo muhimu ya mafanikio ya Klop na Tuchel lakini pia amefanya kazi nzuri kama kocha.
Nitakukumhusha pia huyo Klop anayeimbwa leo duniani, alipokuwa anafundisha timu ndogo huko Ujerumani, alishusha daraja klabu ya Mainz. Tuchel pamoja na kufundisha Dortmund timu mojawapo kubwa Ujerumani lakini aliambulia kombe la DFL Pokal tu
Kwa hiyo relax mkubwa. After all anakuja kama interim coach. Ila bado ni kocha mzuri.
Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app

The biggest trophy Ralf Rangnick has ever won is "He inspired Klopp, Tuchel and Nagelsmann".Kwa bahati mbaya kwa Wapinzani, Ragnick ameshinda makombe 7 katika carrier yake kama kocha
Kabla ya Ragnick, Hoffenheim ilikuwa ni timu ya kawaida kama ilivyo Leeds na Burnley pale Uingereza. Lakini ndiye kocha aliyeifikisha Hoffenheim hatua ya nusu fainali UCL na ikatolewa na Man Utd ya Ferguson. Tangu hapo Hoffenheim haijawahi tena kufika hatua hiyo
Huyu ndio kocha aliyoitoa Schalke mavumbini mpaka akaiwezesha kushinda DFL Pokal 2005, Schalke sasa hivi ipo Championship ya Ujerumani kwa sasa
Mfano kati ya makombe aliyoshinda ni DFL Pokal 2005 (Schalke), DFL Pokal 2011 (Hoffenheim), DFL Super Cup (Hoffenheim) 2011
Kwa hiyo pamoja ya ku philosophise mpira na kuwa Gegenpress Godfather ambayo ndio imekuwa nguzo muhimu ya mafanikio ya Klop na Tuchel lakini pia amefanya kazi nzuri kama kocha.
Nitakukumhusha pia huyo Klop anayeimbwa leo duniani, alipokuwa anafundisha timu ndogo huko Ujerumani, alishusha daraja klabu ya Mainz. Tuchel pamoja na kufundisha Dortmund timu mojawapo kubwa Ujerumani lakini aliambulia kombe la DFL Pokal tu
Kwa hiyo relax mkubwa. After all anakuja kama interim coach. Ila bado ni kocha mzuri.
Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app
Madhara ya kukaririKocha hajawahi kuhusishwa hata na Bayern Munich pindi wanaachana na Hans flick wakamkimbilia amateur coach Nigelsmann
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app

Japo chungu, imeze tuThe biggest trophy Ralf Rangnick has ever won is "He inspired Klopp, Tuchel and Nagelsmann".
Nice move, Manchester United.
Huyo ni wakumdharau na kumpita tu, hana issue.Boss, nadhani kuna threads ya Man City, Liverpool and Chelsea, unaweza tafadhali ukaenda kuwazungumzia hao manyani kwenye nyuzi zao?
Utabili wa hali ya hewa.Ralf hana rekodi tamu sana ya makombe. Ni kama Bielsa alivyomuinfluence Pep lakini Pep ana mafanikio kumzidi Bielsa ndiyo Ralf na wanafunzi wake wakina Klopp, Tuchel na Nagelsmann.
Nadhani Ralf yupo comfortable zaidi akiwa technical director kuliko kocha.Kuwa Trainer doesnt mean wewe ni mzuri sana, unaweza kuwa trainer bt kukitoa kile ulichonacho kichwani na kukiweka field kikawa tatizo kwako.
Nadhani ndio mfano wa Ralph, Yes alimfundisha Klop na Tuchel bt baada ya hapo akawa director of football locomotive moscow, Yaani hata hao warusi hawakuwa na imani nae na kuamua kumpa u-director instead of coaching/manager.
Unaweza kuwa mwalimu mzuri sana wa sayansi ila ukawa huijui na hujawahi kuiona hata simu moja damu ya chura.
Tatizo si kumfundisha Klopp na Tuchel, tatizo ni je anaweza kuhamishia field kile anachowaza kichwani kwake?
Kwa hapa kwetu walimu ni matunda ya wale waliochemsha mitihani yao bt hao hao ndio ambao wanazalisha madaktari wetu na maprofesa wetu tulionao.
Kama hujanielewa hapa, kamwe huwezi elewa sehemu nyingine.
GGMU........... Alisikika mlevi mmoja hivi wa chimpumu
Sent from my LM-K500 using JamiiForums mobile app
Unasema makombe kma ya FA wakati Wigan washachukua na wakimfunga man cty na halikuwa wameshuka daraja ssa ww unasema makombe 7 ya mbunziKwa bahati mbaya kwa Wapinzani, Ragnick ameshinda makombe 7 katika carrier yake kama kocha
Kabla ya Ragnick, Hoffenheim ilikuwa ni timu ya kawaida kama ilivyo Leeds na Burnley pale Uingereza. Lakini ndiye kocha aliyeifikisha Hoffenheim hatua ya nusu fainali UCL na ikatolewa na Man Utd ya Ferguson. Tangu hapo Hoffenheim haijawahi tena kufika hatua hiyo
Huyu ndio kocha aliyoitoa Schalke mavumbini mpaka akaiwezesha kushinda DFL Pokal 2005, Schalke sasa hivi ipo Championship ya Ujerumani kwa sasa
Mfano kati ya makombe aliyoshinda ni DFL Pokal 2005 (Schalke), DFL Pokal 2011 (Hoffenheim), DFL Super Cup (Hoffenheim) 2011
Kwa hiyo pamoja ya ku philosophise mpira na kuwa Gegenpress Godfather ambayo ndio imekuwa nguzo muhimu ya mafanikio ya Klop na Tuchel lakini pia amefanya kazi nzuri kama kocha.
Nitakukumhusha pia huyo Klop anayeimbwa leo duniani, alipokuwa anafundisha timu ndogo huko Ujerumani, alishusha daraja klabu ya Mainz. Tuchel pamoja na kufundisha Dortmund timu mojawapo kubwa Ujerumani lakini aliambulia kombe la DFL Pokal tu
Kwa hiyo relax mkubwa. After all anakuja kama interim coach. Ila bado ni kocha mzuri.
Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app
Huwezi nipangia sehemu ya kuingi bana .......Boss, nadhani kuna threads ya Man City, Liverpool and Chelsea, unaweza tafadhali ukaenda kuwazungumzia hao manyani kwenye nyuzi zao?
Wewe pimbi Kama unakaa kwa shemeji yako ,kimpango wako ...jiaangalie unaweza Nikuta natoka chumbani kwa dada yako nimevaa taulooHuyo ni wakumdharau na kumpita tu, hana issue.
Akishiba tu makande ya bure kwa shemeji yake lazima akimbilie humu kujamba.