Nimeuliza hivi coz watu wana expectations kubwa sana za sisi kubadilika kiuchezaji chini ya Ralf..lakini this will only
last for 6months...so what the point.
I think atahusika kwa asilimia kubwa sana kupatikana kwa kocha next summer kama ulivyosema ambaye atakuwa kiasi fulani wanafanana falsafa
Mi nadhani tatizo ni crisis management approach ya Man Utd Board. Baada ya kuona macocha wote wanachemsha wakaamua kuingia na hii gear ya CARE TAKER, INTERIM COACH AND MANAGER. This is a very vague approach.
Kwamba, Care Taker, well, he takes care of the team until an interim coach is recruited (this is in a very short horizon), na sasa katika kuchagiza hili inasemekana Michael atakuwa coach mpaka jumapli tutakapocheza na chelsea, just to make it look like they have meant this to be a very brief situation.
- Mimi sintoshangaa Chelsea wakitubamiza tano na wao, sababu the whole this thing is putting Michael in a very awkward situation, sidhani kama atakuwa na utulivu kichwani mwake kukabiliana na hii situation, yaani wanamtumia yeye kama condom then wakimpata mtu wao asepe? au ndio wamlazimishe huyo mtu wao akija lazima amuaccomodate michael na hao jamaa zake wengine waliobaki?
The, INTERIM COACH, UP TO END OF SEASON. Unless wapate Jobless man, ama sivyo, nani atakubali kuachia mkataba wa mwaka mmoja kwenda kufuata mkataba wa miezi sita in a volatile club like man utd. nadhani ndio maana ukisikia maelezo juu ya Ralf inaelezwa mwisho wa msimu ataendelea na consultancy contract ya miaka miwili, huu uongo wakawaambie watoto, Ralf is negotiating a 2+ years contract ila kwa sababu wanaogopa maneno ya kina neville yasijekutokea kweli, kwamba Van Gaal, Mourniho both failed sasa wanaogopa a high profile mwingine asije akachemsha wakati anamkataba mrefu n.k so wanamuwekea hayo mambo ya consultancy, na sidhani kama Ralf atasign huo mkataba.
Alafu eti Manager, yaani Board imekuwa na akili za kizamani kwelikweli za kutaka kumpa mwanamke mimba kuprove kama anauwezo wa kuzaa ndio aolewe, Ralf akisign huo mkataba namna hiyo hiyo hata kama atataka akina Michael waondoke ntamshangaa sana.
Kwa sababu, akikubali kufanya nao kazi, anajiandaa ama kutokutumia phylosophy yake na hivyo anajiandaa kufail, ama kuitumia na hiyo phylosophy ifail. huwezi kufundisha assistant coaches phylosophy, ufundishe na wachezaji at the same time alafu upate result. sababu mkataba wa miezi sita ni short term project yenye clear target. either we want to be in top four OR we still want to win the league, etc. Now you can't achieve any of these big ambitions with such managerial terms.
Au Akina Michael waondoke, aje na kitchen cabinet yake, well, nao watapewa interim contracts? ikiisha wawe ma assistant consultant au? nao kwa sasa ni majobless? Yaani Manchester imekuwa desperate hata itoe kazi kwa majobless?
Tujiandae kwa cocha mpya kusign a three + years.