Wakuu mimi nina swali..

Ralf Rangnick atakuja na kutengeneza style of play lakini itakuwa ni kwa miezi sita tu..Je,kocha mpya itabidi afuate misingi hiyo hiyo ya Ralf au itabidi atengeneze system yake?
Obvious huwezi kumpangia kocha kwamba fuata misingi ya fulani

Kitakachofanyika ni Ralf kushauri kocha anaetakiwa kuja, so ni wazi atashauri kocha mwenye maono na style inayofanana kwenye recruitment na style of play
 
Wakuu mimi nina swali..

Ralf Rangnick atakuja na kutengeneza style of play lakini itakuwa ni kwa miezi sita tu..Je,kocha mpya itabidi afuate misingi hiyo hiyo ya Ralf au itabidi atengeneze system yake?
Kama ni kocha mzuri ktk kutengeneza mfumo mzuri Wa kiuchezaji kama anavyosemwa kwa nini wasimpe mkataba Wa kudumu tu!!?
 
Obvious huwezi kumpangia kocha kwamba fuata misingi ya fulani

Kitakachofanyika ni Ralf kushauri kocha anaetakiwa kuja, so ni wazi atashauri kocha mwenye maono na style inayofanana kwenye recruitment na style of play
Maoni ya mashabiki wa man sie yana ufundi wa hali ya juu sn daaah
 
Maoni ya mashabiki wa man sie yana ufundi wa hali ya juu sn daaah
Sio maoni tuu

Vyanzo mbali mbali vya habari vimekua vikitoa ripoti ya mkataba na demands za Ralf kwenye mkataba kwamba anahitaji a consultancy role baada ya miezi sita ya interim role

Na vinaenda mbali kuriport one of the first thing kwenye role yake as a consultant ni kushauri juu ya kocha ajae, then maswala mengine within two years until 2024
 
Obvious huwezi kumpangia kocha kwamba fuata misingi ya fulani

Kitakachofanyika ni Ralf kushauri kocha anaetakiwa kuja, so ni wazi atashauri kocha mwenye maono na style inayofanana kwenye recruitment na style of play
Nimeuliza hivi coz watu wana expectations kubwa sana za sisi kubadilika kiuchezaji chini ya Ralf..lakini this will only
last for 6months...so what the point.

I think atahusika kwa asilimia kubwa sana kupatikana kwa kocha next summer kama ulivyosema ambaye atakuwa kiasi fulani wanafanana falsafa
 
Kama ni kocha mzuri ktk kutengeneza mfumo mzuri Wa kiuchezaji kama anavyosemwa kwa nini wasimpe mkataba Wa kudumu tu!!?
Sasa sijui exactly tatizo ni nini..maana hata huko Lokomotiv Moscow alikuwa Head of sports development.

Sasa sijui ni umri umeenda(63yo) au yeye kwa sasa hataki ukocha wa muda mrefu au ni nini hasa
 
Huwa nashangaa sana mtu akimsema Ronaldo au Rashford sielewagi wanataka nini kwakweli.. Rashford ana matatizo yake lakini naamini anaweza kuwa sawa akawa hatari sana akipata kocha wa kumuongezea vitu mtu ambae nasikitika ila nishamkatia tamaa ni Martial dah ananiuma sana yule jamaa ila ndo hivyo.
 
Nimeuliza hivi coz watu wana expectations kubwa sana za sisi kubadilika kiuchezaji chini ya Ralf..lakini this will only
last for 6months...so what the point.

I think atahusika kwa asilimia kubwa sana kupatikana kwa kocha next summer kama ulivyosema ambaye atakuwa kiasi fulani wanafanana falsafa
Mi nadhani tatizo ni crisis management approach ya Man Utd Board. Baada ya kuona macocha wote wanachemsha wakaamua kuingia na hii gear ya CARE TAKER, INTERIM COACH AND MANAGER. This is a very vague approach.

Kwamba, Care Taker, well, he takes care of the team until an interim coach is recruited (this is in a very short horizon), na sasa katika kuchagiza hili inasemekana Michael atakuwa coach mpaka jumapli tutakapocheza na chelsea, just to make it look like they have meant this to be a very brief situation.
- Mimi sintoshangaa Chelsea wakitubamiza tano na wao, sababu the whole this thing is putting Michael in a very awkward situation, sidhani kama atakuwa na utulivu kichwani mwake kukabiliana na hii situation, yaani wanamtumia yeye kama condom then wakimpata mtu wao asepe? au ndio wamlazimishe huyo mtu wao akija lazima amuaccomodate michael na hao jamaa zake wengine waliobaki?

The, INTERIM COACH, UP TO END OF SEASON. Unless wapate Jobless man, ama sivyo, nani atakubali kuachia mkataba wa mwaka mmoja kwenda kufuata mkataba wa miezi sita in a volatile club like man utd. nadhani ndio maana ukisikia maelezo juu ya Ralf inaelezwa mwisho wa msimu ataendelea na consultancy contract ya miaka miwili, huu uongo wakawaambie watoto, Ralf is negotiating a 2+ years contract ila kwa sababu wanaogopa maneno ya kina neville yasijekutokea kweli, kwamba Van Gaal, Mourniho both failed sasa wanaogopa a high profile mwingine asije akachemsha wakati anamkataba mrefu n.k so wanamuwekea hayo mambo ya consultancy, na sidhani kama Ralf atasign huo mkataba.

Alafu eti Manager, yaani Board imekuwa na akili za kizamani kwelikweli za kutaka kumpa mwanamke mimba kuprove kama anauwezo wa kuzaa ndio aolewe, Ralf akisign huo mkataba namna hiyo hiyo hata kama atataka akina Michael waondoke ntamshangaa sana.

Kwa sababu, akikubali kufanya nao kazi, anajiandaa ama kutokutumia phylosophy yake na hivyo anajiandaa kufail, ama kuitumia na hiyo phylosophy ifail. huwezi kufundisha assistant coaches phylosophy, ufundishe na wachezaji at the same time alafu upate result. sababu mkataba wa miezi sita ni short term project yenye clear target. either we want to be in top four OR we still want to win the league, etc. Now you can't achieve any of these big ambitions with such managerial terms.

Au Akina Michael waondoke, aje na kitchen cabinet yake, well, nao watapewa interim contracts? ikiisha wawe ma assistant consultant au? nao kwa sasa ni majobless? Yaani Manchester imekuwa desperate hata itoe kazi kwa majobless?

Tujiandae kwa cocha mpya kusign a three + years.
 
Frank Lampard: "Messi or Ronaldo? I've always been a Messi man — [but] I actually think for what Ronaldo's output, numbers and goals in big finals and semi-finals, like we've seen, I think I'd maybe give him the edge now."

manutd |
#GGMU
 
Manchester United confirmed to Ralf Rangnick his ‘consultancy’ role from June 2022 until 2024 - but Ralf would be interested in taking the full time manager role if offered.


#@manutd |
#GGMU
 
Cristiano


#FanArt
manutd |
#GGMU
IMG_20211126_230050_212.jpg
 
Nyie matakataka bado mumelala? Tuwapachike bao ngapi kesho??
Unajua sisi Chelsea Kila mchezaji ni mfungaji.
#CFC💙💙💙
 
Mi nadhani tatizo ni crisis management approach ya Man Utd Board. Baada ya kuona macocha wote wanachemsha wakaamua kuingia na hii gear ya CARE TAKER, INTERIM COACH AND MANAGER. This is a very vague approach.

Kwamba, Care Taker, well, he takes care of the team until an interim coach is recruited (this is in a very short horizon), na sasa katika kuchagiza hili inasemekana Michael atakuwa coach mpaka jumapli tutakapocheza na chelsea, just to make it look like they have meant this to be a very brief situation.
- Mimi sintoshangaa Chelsea wakitubamiza tano na wao, sababu the whole this thing is putting Michael in a very awkward situation, sidhani kama atakuwa na utulivu kichwani mwake kukabiliana na hii situation, yaani wanamtumia yeye kama condom then wakimpata mtu wao asepe? au ndio wamlazimishe huyo mtu wao akija lazima amuaccomodate michael na hao jamaa zake wengine waliobaki?

The, INTERIM COACH, UP TO END OF SEASON. Unless wapate Jobless man, ama sivyo, nani atakubali kuachia mkataba wa mwaka mmoja kwenda kufuata mkataba wa miezi sita in a volatile club like man utd. nadhani ndio maana ukisikia maelezo juu ya Ralf inaelezwa mwisho wa msimu ataendelea na consultancy contract ya miaka miwili, huu uongo wakawaambie watoto, Ralf is negotiating a 2+ years contract ila kwa sababu wanaogopa maneno ya kina neville yasijekutokea kweli, kwamba Van Gaal, Mourniho both failed sasa wanaogopa a high profile mwingine asije akachemsha wakati anamkataba mrefu n.k so wanamuwekea hayo mambo ya consultancy, na sidhani kama Ralf atasign huo mkataba.

Alafu eti Manager, yaani Board imekuwa na akili za kizamani kwelikweli za kutaka kumpa mwanamke mimba kuprove kama anauwezo wa kuzaa ndio aolewe, Ralf akisign huo mkataba namna hiyo hiyo hata kama atataka akina Michael waondoke ntamshangaa sana.

Kwa sababu, akikubali kufanya nao kazi, anajiandaa ama kutokutumia phylosophy yake na hivyo anajiandaa kufail, ama kuitumia na hiyo phylosophy ifail. huwezi kufundisha assistant coaches phylosophy, ufundishe na wachezaji at the same time alafu upate result. sababu mkataba wa miezi sita ni short term project yenye clear target. either we want to be in top four OR we still want to win the league, etc. Now you can't achieve any of these big ambitions with such managerial terms.

Au Akina Michael waondoke, aje na kitchen cabinet yake, well, nao watapewa interim contracts? ikiisha wawe ma assistant consultant au? nao kwa sasa ni majobless? Yaani Manchester imekuwa desperate hata itoe kazi kwa majobless?

Tujiandae kwa cocha mpya kusign a three + years.
Umeelezea vizuri sana.Naona managerial skills ya hali ya juu kutoka kwako.
 
hujielewi, umetoka huko ulikotoka na kukutupukia hapa.
Hujui chochote kuhusu hii team wewe, ungekuwa unajielewa usingedhania kuwa Ronaldo pekee ndo alikuwa ni mzigo kwa OLE, yani hujaona upumbavu wa Maguire, AWB ,Mac Tominay, na mbinu hafifu za OLE ila umemuona Ronaldo tu.

Haya kama kweli unajilewa tuambie hapa, ni lini Fargie alimfokea OLE kwa kumpiga Ronaldo benchi? Wakati huo wewe ulikuwa wapi?
 
Back
Top Bottom