Tanayzer
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 3,009
- 7,309
Wewe mkuu upo serious yani umtoe Rashford umsajili Pedro Goncalves? au haufahamu alicheza Wolves akaflop??I co-sign this. Phil Jones pia.
Hawa vilaza kama kuna timu watajipendekeza waende pia
Fred, Scott, Harry Maguire, Aaron Wan Bissaka, Marcus Rashford. Naamini ndani ya miaka miwili ya Ralf atakuwa kapunguza angalau watatu kati ya hawa.
Hapo kwa Marcus watu wengi watashangaa kidogo ila ukweli huyu mchezaji sioni aki-grow zaidi ya hapo. Nusu ya mshahara wake unaweza kutupa mchezaji mwenye uwezo mara 2 yake m.f Pedro Goncalves Pote.
Tunahitaji wachezaji walio na hadhi ya kuwa United, na sio tukicheza na vitimu kama Leicester au Everton huoni utofauti.
Rashford ni mchezaji mzuri sana huwa anatendea haki sana wing ya kushoto ukitaka uamini angalia game aliyorudi alafu pia angalia martial na sancho wakiwa upande huo